Kule Jimbo la Kisarawe mkoani PWANI, Mbunge anaemaliza muda wake ndugu Selemani Jaffo akituhumiwa kuhonga na kutoa rushwa, watu kadhaa wamekamatwa wengine ni viongozi wa Jumuiya ya wazazi wakiwa na kura feki, na pia viongozi wa chama kunavideo zinawaonyesha wakigawa fedha.
Ukweli mtupu, watanzania utawaweza mkuu, sasa fukua makabuli humu weka thread za nyuma kipindi cha Jiwezi, Bashiru na Polepole uone walivyokuwa wakiandika kuwahusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.