Recent content by pamjela

  1. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

    @TANESCO jambo langu limefanukiwa mafundi wenu walikuja leo ASUBUHI kulishighulikia tatizo langu na wamelitatua Nashukuru sana kwa ushirikiano na msaada kwa haraka Lakini hapa mtaa pili kuna NGUZO imeoza imekatika kabisa juu kwenye VIUNGIO kwa maana inashukiliwa na waya tu nakuwekea picha...
  2. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

    Wako vizuri sana usisite kuwapigia mm tatizo niliwaambia jana leo wamekuja mafundi kutatua Kwa hili wanajitahidi sana 7bu sio mara ya kwanza kunitatukia shida yangu kwa wakat Nawaoa HONGERA SANA TIMU YA NTANDAONI NA EMERGENCY WA BAJAJI wako humble na faster sana
  3. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

    Akhsante sana TANESCO jambo langu limefanukiwa mafundi wenu walikuja leo ASUBUHI kulishighulikia tatizo langu na wamelitatua Nashukuru sana kwa ushirikiano na msaada kwa haraka Lakini hapa mtaa pili kuna NGUZO imeoza imekatika kabisa juu kwenye VIUNGIO kwa maana inashukiliwa na waya tu...
  4. pamjela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO KERO Kupata huduma kwenye Ofisi za Uhamiaji kunahusiana nini na mavazi mtu aliyovaa?

    Nenda siku HOSPITAL LUGALO uone ukivaaJEZI au TRACKSUIT unapelekwa uwanjani ukacheze mpila na kufanya mazoezi ya VIUNGO na wanajeshi. HESHIMU maadili yako ya KITANZANIA acha kuigaiga UZUNGU.
  5. pamjela

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

    yaan hali ya mgonjwa PRIVACY zake zitangazwe na HOSPITAL public umeona wapi hiyo Wao wamewapa taarifa watu wa karibu na mgonjwa hao watu wa karibu ndio wameamua kutoa taarifa PUBLIC kufuatia maelezo kutoka kwa madoctor Kona shida gani hapo
  6. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

    Sawa nimerudi tayari mnisaidie leo nipate zile namba za maboresho
  7. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

    Umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no Namba ya mita ni 43001069764
  8. pamjela

    JamiiForums Tanzania KERO Umeme umekuwa tatizo sana siku hizi hasa Kimara na Mbezi, TANESCO hamsemi tatizo ni nini?

    Tanesco umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no Namba ya mita ni 43001069764
  9. pamjela

    JamiiForums Tanzania Kimenuka huko Afrika Kusini

    Umenikumbushsa BUPE wa kaole sanaa group
  10. pamjela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuinstall RAM mpya kwenye desktop

    Hapo naona moja ni DDR3L na Nyingine ni DDR3 kavu Kuna mambo mawili inawezaka PC yako inasuport DDR3L tu pekee hvyo ukiweka DDR3 kavu inakataa kuwasha Au PC yako motherboard yake haitaki uchanganye DDR3L na DDR3 kavu Maaana eidha uweke DDR3L pekee au uweke DDR3 kavu pekee Hizo za chini za...
  11. pamjela

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kukaa gheto?

    Digital ni SATELLITE tv station Inamaana ukiunganisha ANTENA ya kawaida au DISH unapata mpk ALJAZEEEA na Station nyingine zA local bila kuhitaji KINGAMUZI ANALOGY ni mfumo wa zamani ambao TANZANIA tushauacha labda mikoani nI ule mfumo wa SHUNGUZA antena chengachenga kibao HDMI/ARC hii ni kwa...
  12. pamjela

    JamiiForums Tanzania Natafuta laptop Used aina ya Lenovo corei 7

    Njoo nikuuzie lenovo thinkpad E460 Core i7 6500u "6th" 16gb ram 512 ssd Intel UHD 520 Graphics card Radeon R7 m360 2gb vram Disply 14"inch FULL HD 1920x 1080 4hrs battery Slim Bei 720000/= Location MAKUMBUSHO STAND DSM Contact 0620552992 Sent from my SM-G935S using JamiiForums mobile app
  13. pamjela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ni dhahiri kabisa TTCL inahujumiwa, Meneja Masoko TTCL achunguzwe ikibidi afukuzwe kazi

    Ni mtandao gani GB 1 wanauza ni 1300
Back
Top Bottom