Kwa hiyo Chama kinafuta ile list of shame waliyotupatia? Maana ndivyo uma ulivyoaminishwa, nadhani hata neno fisadi kwa hapa Tz lilianzia kwa mtu huyu. Chama kina nguvu bado ya kupinga ufisadi baada ya hapa? Maana kwa miaka 5 sera kuu ya chadema imekuwa ni kupinga ufisadi ikiambatana na kuwataja...
Kwa hiyo Chama kinafuta ile list of shame waliyotupatia? Maana ndivyo uma ulivyoaminishwa, nadhani hata neno fisadi kwa hapa Tz lilianzia kwa mtu huyu. Chama kina nguvu bado ya kupinga ufisadi baada ya hapa? Maana kwa miaka 5 sera kuu ya chadema imekuwa ni kupinga ufisadi ikiambatana na...
Mwaka huu tutashudia mengi, steel wire zaweza kuisha madukani.
Nasubiri kuona Dr. Slaa akimnadi Lowasa kuwa ni mtu safi, Nasubiri kuona Tundu Lissu akimnadi Lowasa.Nasubiri kuona Lema akimnadi LowasaSipati picha, " lakini nadhani itakuwa rahisi ikiwa Yericko anamnadi Lowasa namna hii!!!!!!!"...
Kumbe vyama kazi zao ni kushughulikia ndoa!!! nilikuwa sijui kama chadema ni mahakama ya mambo ya ndoa!!!! Nilidhani vyama vya siasa kazi zake ni majukwaani siyo nani kaoa nani, kazaa nani, kaoa mke wa ngapi, kaolewa na nani, kaoa wapi.
Kama hayo ndio maadili ya chama yanayozungumziwa ndani ya...
hizi sasa sifa, watu wote hao ninyi chadema sasa wenzenu watapataje? anyway mlikodi malori mangapi kuwaleta watu wengi hivyo? nimeangalia video moja kiongozi anasema delete..............maneno mengine sikusikia!!!!! mpaka nikaogopa mgombea pinzani asije akashikwa pressure.
inasikitisha sana, tunarudi nyuma hatua mbili huku tukisonga mbele hatua moja kwa mtindo hu. Tutaendelea kuwa chini ya mkoloni, nilianza kujifariji kuwa sasa angalau tutawatikisa tukiwa pamoja ila kwa hali hii naona matumaini yangu yanazidi kuporomoka. "Kwa heri mabadiliko na uhuru, ukoloni...
kuna wakati pesa inakuwa mbaya sana, unaweza kuuza utu, akili na heshima zako zote kwa sababu ya pesa. Ukijashituka mambo yameshaharibika na huna za kurudisha. Poleni sana!!!!
Naona ndani ya orodha uliyotoa baada ya tathmini ya kina na kwa weledi: Kuna majizi, mijizi na majambazi sugu ya rasilimali za Tanzania. Kuna wazembe, walalamishi na wasio na maono. Kuna wale waongo, majigambo, dharau na kiburi. Kwa ujumla, hakuna unafuu wowote.
Nafikiri kama orodha ndio hiyo...
chadema acheni sifa sasa, kwa hiyo mlikodi malori ya nchi nzima ili muwe na watu wengi kwenye huo mkutano? vip hotel zilijaa? au mlitumia simba badala ya fisi ili kuvuta watu waje? ninyi safari yenu ina matumaini au ya uhakika?
ama wakati mwingine nasikitika kutoka baadhi ya mikoa kwani huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.