Big Up Mkuu...
Siku Magufuli akizirudisha nyumba za Serikali nitachukua kadi ya CCM. Hata gharama zikiwa kubwa kiasi gani, bado litakuwa ni jambo la maana.
Watanzania wote tunatakiwa tubadilike kwanza... Mahaba aliyoyapata JK mwaka 2005 kutoka kwa Watanzania hayana kifani.
Tuache kuridhika hovyo hovyo... Yamejirudia tena mwaka huu kwa Lowasa, kweli Lowasa na historia yake na na hali yake leo alikua ni mtu wa kupewa mahaba makubwa vile na Upinzani...
Watanzania Wazalendo tulikua nyuma ya JPM kwa nguvu zote...
Hakukuwa na njia ya kupita kufika Ikulu.
Tena kawasababisha Chadema wasipate wabunge wengi Kama ilivyokuwa inategemewa.
LAANA IN DEED... Lakini imekula kwao, Watanzania tulio wengi hatuwasikilizi wala hatuwaelewi.
Tupo bega kwa bega na Jembe letu Magufuli. Tunazidi kumuombea aendelee kuwafuta Tanzania.
By Mmawia:
Inaelekea wangepata fursa ilizo nazo CCM wangechafuka zaidi ya CCM... Kukosa Credidility na Integrity kwa kiasi tulicho shuhudia ilhali wakiwa hawajishika madaraka ni dalili mbaya kuliko maelezo
Inaelekea wangepata fursa ilizo nazo CCM wangechafuka zaidi ya CCM... Kukosa Credidility na Integrity kwa kiasi tulicho shuhudia ilhali wakiwa hawajishika madaraka ni dalili mbaya kuliko maelezo
Sio Kamanda tu... Aliachiwa chama afanye afanyavyo ili aingie Ikulu. Kwa kutumia mbinu zote zilizopo duniani safi na chafu ilimradi aingie Ikulu. Kwa kutumia yeyote duniani bila kujali ni gaidi au binadamu wa kawaida afu leo mnasemaje??? Mmepoteza uhalili wa kusema chochote chenye mashiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.