Recent content by paliemba

  1. paliemba

    Hii ndio hesabu ya magazijuto inayotaka kutumika kumng'oa Sugu Mbeya

    Wanasiasa wetu wanapo subiria mbinu na mkakati wa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi badala ya kuweka mkakati wa ushindi sasa
  2. paliemba

    Kuhusu viongozi wa kisiasa wenye vyeo vya juu kuingia na walinzi wao makanisani au misikitini maana yake nini?

    Msenge ni wewe usiye tafakari rejea maandiko "bwana asipo ulinda mji wakeshao wanakesha bure"
  3. paliemba

    Halima Mdee: Rais Magufuli, Serikali yako imechafuka, chutama uweze kujisitiri

    Wapiga kelele hawa muheshiwa raisi wala hakuna haja ya kuwasweka ndani hawa wala vipi waache wapoge kelele mwishowe kimyaaaa. Kwani baada ya uchaguzi mambo yalikuwa je
  4. paliemba

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Ndo ukweli wenyewe huo unajuwa hapa duniani ogopa technology ,mungu na njaa tu
  5. paliemba

    Kuhusu viongozi wa kisiasa wenye vyeo vya juu kuingia na walinzi wao makanisani au misikitini maana yake nini?

    Nani kakwambia mungu katika imani anahitaji ulinzi ? Mungu mwenye nguvu hujipigania mwenyewe na si kama unenavyo wewe kichaa
  6. paliemba

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Thibitisha mkuu usimtuhumu mkuu bila sababu . Alafu wewe unajiita sir wakati ni kilaza tu ulisoma pale iyunga technical na tunakufahamu vizuri tu wee endelea tu uwe na msimamo huohuo tu .
  7. paliemba

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Habari wakuu majira haya tinavozunguza PR. Hasadi amenyenyuliwa na kuulizwa na muheshiwa raisi kuhusu kupotea kwa fedha za umma shilingi trillion 1.5 na amekana kwamba hakuna pesa iliyo potea na mwisho akamuuliza katibu wa hazina naye akagongelea msumali kwa kusema hazina iko salama kabisa. Je...
  8. paliemba

    Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

    Nipo hapa
  9. paliemba

    Polepole ataka Zitto Kabwe achukuliwe hatua kwa kupotosha ripoti ya CAG, amtaka 2020 atafute kazi nyingine

    Nape ulikuwa katibu mwenezi kweli jongera saana tunazikumbuka Sikh zako mungu akubariki saana
  10. paliemba

    Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?

    Mkuu kwa maoni yangu kitendo cha kuuanza kuwafukuza wabunge wa upinzani baada ya maagizo Yale kumetoa tafsiri mujarabu kwamba chombo chetu cha uwakilishi kinajipendekeza . lakini si hivyo ukiangalia mijadala mingi ya wabunge wetu bungeni hua haionyeshi afya kabusa kwenye kuisimamia serikali...
  11. paliemba

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Vipi NMB mna master card au VISA Kwa ajili ya online transaction
  12. paliemba

    Kuhusu viongozi wa kisiasa wenye vyeo vya juu kuingia na walinzi wao makanisani au misikitini maana yake nini?

    Wadau kuna kitu huwa kina nishangaza saanaa pale ninanapo waona viongozi wa kisiasa wakubwa wanapo ingia kanisani na walinzi wao sijui huwa wana maanisha nini ? Au pengine huwa ni hisia zangu tu? 1). Au mungu wanaye mwabudu huwa hana kinga ya kutosha dhidi yao .? 2). Au imani yao ni haba...
Back
Top Bottom