Napenda kuishukuru JF kwa kunipatia kazi mpya.
Sasa mwenzenu nilikua na kazi ambayo nilishaichoka, kiasi chakuanza tafta zingne. Nilifanya maombi mbalimbali ya kazi na kufanya usail mara nne yaani mbili za utumishi, na ingine ya uhamiaji ambazo zilikua na ushindani mkubwa.
Namshukuru mungu...
I have a suspicious feelings that ze market is purposeful burned down to move the bussiness people to the complex building...Ilala municipality can be responsible in this because if they are not involved why fire emergenc didnt respond quickly until the whole market is completly down. Why if one...
Habari wanaJf...naomba kuuliza hivi wale waliofanya usaili bank ya damu salama wameshaitwa kazini???kwa maana walisema wataita ndani ya week 2 ila hawakua specific na siku. Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.