Recent content by Pah Amadu

  1. Pah Amadu

    Hawajutii na wala hawatokuja kujutia walichokifanya

    Fungeni na mahakama zote ili kila mtuhumiwa muwe mnapiga risasi za kichwa
  2. Pah Amadu

    Hawajutii na wala hawatokuja kujutia walichokifanya

    Kama huyu PM ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za serikali basi kama tutapitia kipindi kigumu zaidi huko mbeleni. Yaani PM analinganisha mauaji ya 29th Oct na ajali ya MV Bukoba, na kuamua kuzuia misiba ya kila nyumba kwa kuzuia maiti za watu na kwenda kuzipoteza kusipojulikana ni kitendo cha...
  3. Pah Amadu

    Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

    Achaneni na kikombe cha babu wa loliondo. Kuna kikombe flan hivi cha POMBE kutoka Chato tulikinywa Watanzania wote yan tulilewa chakaliiiiiii
  4. Pah Amadu

    Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

    Yaweza kuwa Rais ana maadui wengi ndani ya nchi kuliko nje. MAY BE.
  5. Pah Amadu

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta ndo alizingua
  6. Pah Amadu

    Jiko la kuni na hewa itokayo kwenye mapafu

    Yes!! Thas the point!
  7. Pah Amadu

    Jiko la kuni na hewa itokayo kwenye mapafu

    Inafahamika binadamu na wanyama huvuta ndani hewa ya Oksijeni na kutoa nje hewa ya Kabonidayoksaidi. Lakini pia inafahamika kwamba hewa ya Oksijeni ndiyo inayosaidia kuwaka kwa moto, na Kabonidayoksaidi hupelekea kwa kuzimika kwa moto. SWALI:- Kwanini jiko la kuni likipulizwa na hewa kutoka...
  8. Pah Amadu

    Made in Hale End Products

    Naomba kuwasilisha.....
  9. Pah Amadu

    Made in Hale End Products

    Bukayo Saka & Emile Smith Rowe[emoji91][emoji91]
  10. Pah Amadu

    Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

    Kudadadeki kumbe vijana wa hovyo mpo kila sehemu[emoji38][emoji38]
  11. Pah Amadu

    Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

    Asante sana ndg. Mwenyekiti wa Chaputa kwa kunikarbisha kwenye chama chako
  12. Pah Amadu

    Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

    S9ma vizuri uelewe, BAADA YA TENDO LA NDOA NI MAYELE. Unatumia Window ngapi kufikiri mzee???
  13. Pah Amadu

    Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

    Nina wake wanne na michepuko sita lkn kumtazama mayele akicheza ni balaa mzee
  14. Pah Amadu

    Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

    Nenda kwa Mama Kiringe agiza Supu ya mapupu na Chapati 4 hela atalipa Mayele cku ya tarehe 23 kule Manungu
Back
Top Bottom