Hijja kwa waislamu iko moja tu dunia nzima Inapatikana Saudia...na itabaki hivyo mpaka qiyama
Na uislam hauna fikra za mtu zitumike hakunga,,
Kuvaa niqab ni dalili katika dini nawala si utamaduni wa Iran...
Kiufupi hapo linatakiwa tamko tu la mwanaume wa mwanzo atoe talaka basi,
Ao mwanamke afanye khulus(ajivue ndoa irejeshwe mahari yake ndoa iishe,
Kama mwanaume atakataa basi nendeni kwa kadhi ataivunja ndoa hiyo....!
Ila hapo kumuoa huwezi maana bado mke wa mtu hata akae miaka 15 jamaa akirudi...
Huyo mumeo wa kumsikitika tu yaani ameshindwa kuelewa huyo mwanao ni yatima,
Kitendo cha kukaa hapo yeye ridhiki yake inaongezeka mara mbili kutokana analea mtoto ambaye baba yake alishafariki,,
Pole sana
Ukweli mtupu,shida iko kwa viongozi waliopshika mpini elimu ziro na kijana anapoenda kusoma akarejea kujaribu kuleta mageuzi hapo ataonekana adui,
Unaweza kuingia msikiti wenye miaka Mia hata hao waumini wanaofanya ibada humo zaidi ya miaka 20 hawajui kitu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.