Ndugu zanguni huwa nakaa chini nafikiria kuhusu nini chanzo cha usaliti lakini mara zote huwa sipati jibu, upo mfano mmoja hai nilioshuhudia kupitia rafiki yangu kipenzi hapa chuo, jamaa alifanikiwa kumpata binti mmoja na kuingia nae ktk mahusiano kwa kutumia moja ya mitandao ya kijamii, yule...