Recent content by Padidu G

  1. P

    Baadhi ya ukweli muhimu kwa raia wa Israel wa ki-roho (Watanzania) Wanapaswa Kuelewa kuhusu Iran na Israel

    Usimtukane anaekutukana usimpige anaekupiga usimdharau aliekudharau,kibri hua kinakuja kwa sababu ya pumzi na afya.
  2. P

    Technically, huwezi shindana na serikali, never

    Tena Watu wenyewe dhaifu
  3. P

    Je, unahitaji software ya kukusaidia kazi / biashara yako?

    Nina computer 💻 mpakato nataka kuweka app za design,App moja ni bei gani unaweka?
  4. P

    Nahitaji mkopo wa haraka

    Kama bado ujapata na una dhamana ya gari njoo dm nikuelekeze mtu atakupa,au mie unipe gari nikupe hela ukirudisha hela nakupa gari yako bila riba.
  5. P

    Car4Sale Vitz new model

    maoini yangu bei hiyo ni kubwa mnooo
  6. P

    Kama una gari hizi Prado 95 au Prado 120 (diamond) pitia hapa upate moja mbili, ikuingizie kipato

    Kuna Watu Mmejaaliwa vipandwa na miongoni mwa vipandwa hivyo ni aina ya hizi gari PRADO 95 (MCHAGA),PRADO 120 (DIAMOND) Hizi gari zinaweza kukusaidia kuingiza kipato kwa kukodisha kwa watu binafsi au Makampuni Mie ni Dereva wa tours kwa miaka kadhaa sasa na utafiti Wangu nilioufanya ni kua Gari...
  7. P

    Ipi nyama halali kuliwa Kati ya ngamia na nguruwe

    Acha kufananisha Ngamia na vitu vya kipuuzi.
  8. P

    Dodoma: Serikali yapiga marufuku biashara ya majeneza mitaani, yasema ni kuwatia hofu Wananchi na kuwaogofya

    Tuna Watu wapumbafu Sana Tanzania [emoji1241] Hii Yaani wajinga badala ya kupungua Ndo wanaongezeka.
Back
Top Bottom