Kwanza niseme tu kuwa hakuna kitu kigumu ila ugumu uko katka vichwa vyetu...pili Fanya kile unachoweza na kupenda kutoka moyon na sio kufuata mkumbo kwa Rafiki kwa sababu tunatofautiana uelewa,,lakn zaid sana zingatia uwezo na msingi wako wa awali na kama uko vizr ktk hayo usiogope,
Ukiwa na upeo huo wa kuwa kila aendae chuon lazma aajiliwe si kweli hizo ni fikra chakavu isipokuwa wasomi wa sasa wanaona kuwa na degree wamemaliza kila kitu na kwamba hawezi kufanya shughuli ndogondogo na kuona kana kwamba wamepigwa chapa usoni ...so jamii ya leo inatakiwa kuwa yenye fikra...
Siku zote cha bure hakina thaman sana kama chakugharamiwa wewe juwa hivyo mkuu .na kama una mtoto komaa naye usijiachie et kisa elimu bure hiyo hakunaga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.