Hakuna aliekataa mtihani bwana kabunguru, rejea barua zote za madaktari hao. Wanachodai ni mitihani hiyo ina mapungufu kwa sababu walizoahinisha, hivyo ufanyiwe marekebisho vinginevyo wengi watakua wakifeli na huku performance yao ya internship ilikua very good. Punguza mihemko unapochangia mada...
Nakubali. Lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba mwanafunzi akifeli ni mwl kashindwa kumpa mbinu za kufaulu mwl ndio failure wa kwanza hapo. Lkn yanayotokea sasa ni kinyume mwanafunzi yupo competent kashafunzu miaka 6 ya darasani na vitendo. Kafuzu na mwaka wa internship chiniuangaliziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.