Kwa miaka mitatu sasa maeneo ya Vigunguti ukiwa unatoka Tabata Barakuda unavuka kwenda Upande wa pili wa mto msimbazi kumekua na magari yanachukua mchanga wa mtoni wanasafirisha. Magari ni Makubwa na kutokana na hili mto msimbazi umekua ukitanuka na wakati wa mvua kumesababisha mafuriko Makubwa...
Kuna Miradi mkubwa Magufuli aliacha na Mingine ya awamu ya sita haijazinduliwa mpaka Leo.
Ucheleweshwaji wa uzinduzi au kufunguliwa wa miradi hii hupoteza mabilioni ya mapato ya pesa kodi na fursa za kiuchumi Kwa watanzania.
Mfano:
Masoko Makubwa yalikua yamepangwa kufunguliwa kama la...
Mimi Tena, wewe tutumie hapa habari kua Barabara zimejengwa. Vijijini mnatunganya, tuanzie mjini hapa Dar Hela zinatoka za ujenzi wa Barabara kipawa airport watu wanakula.pesa waziwazi na ujenzi unasuasua na ajabu Barabara haimaliziki.
Ujenzi wa Barabara Mwanza umefikia wapi? Kila Leo kero...
Hii bike sokoni ni 2,700,000 chuma chepesi na kinatembea.
Boxer usalama wa muendeshaji ni mdogo Nadhan ni mambo ya mechanics. Ina nguvu ila muundo wake Kwa ujumla SI salama kw amuenseshaji ukilimganisha na pikipiki nyingine.
SINORAY service yake kubwa mafuta na chuma kimeshonwa vizuri. Mara...
Pikipiki, magari baiskeli serikali inasemaga inatoa Kwa vijiji lakini hata siku Moja hatujawahi kusikia zimepaki kwenye ofisini za kata Wala Kijiji, wanatumia hatuwajui.
Hizi trekra... Ni another day dream
Watanzania sijui nani alituroga,
Fundi unamlipa akufanyie kazi alafu wakati anafanya kazi unamsifia hata akidondosha cement, akianguka kwenye ngazi unafia. Ni ugonjwa wa akili.
Wananchi tunalipa Kodi WATUMISHI wa serikali akiwemo Raisi watutumikie, wao wanakua kama ndio mabosi sasa alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.