Recent content by P J O

  1. P J O

    Kauli Hii ni Apologetic, Japo Mwanzo Alikomaa, Sasa Ameguswa, Ameumia, Amejutia!, Ameomba Msamaha!, Watanzania Tumsamehe, Yaishe Tusonge Mbele!.

    Izp porojo kafanye nyumbani kwako, eti Baba ni kichwa. Hii ni nchi, si mali ya mtu mmoja. Uwajibikaji ni kujiuzulu
  2. P J O

    Pesa ya msaada wa El nino ilienda wapi?

    Kwa miaka mitatu sasa maeneo ya Vigunguti ukiwa unatoka Tabata Barakuda unavuka kwenda Upande wa pili wa mto msimbazi kumekua na magari yanachukua mchanga wa mtoni wanasafirisha. Magari ni Makubwa na kutokana na hili mto msimbazi umekua ukitanuka na wakati wa mvua kumesababisha mafuriko Makubwa...
  3. P J O

    NI LINI SERIKALI ITAWAJIBIKA KWA KUHARIBU PESA YA MIRADI?

    Kuna Miradi mkubwa Magufuli aliacha na Mingine ya awamu ya sita haijazinduliwa mpaka Leo. Ucheleweshwaji wa uzinduzi au kufunguliwa wa miradi hii hupoteza mabilioni ya mapato ya pesa kodi na fursa za kiuchumi Kwa watanzania. Mfano: Masoko Makubwa yalikua yamepangwa kufunguliwa kama la...
  4. P J O

    GE2025 Ukiangalia Ratiba ya mgombea Urais wa CCM hatapitia majimbo na wilaya ambazo Barabara hazina Lami

    Mimi Tena, wewe tutumie hapa habari kua Barabara zimejengwa. Vijijini mnatunganya, tuanzie mjini hapa Dar Hela zinatoka za ujenzi wa Barabara kipawa airport watu wanakula.pesa waziwazi na ujenzi unasuasua na ajabu Barabara haimaliziki. Ujenzi wa Barabara Mwanza umefikia wapi? Kila Leo kero...
  5. P J O

    Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Hii bike sokoni ni 2,700,000 chuma chepesi na kinatembea. Boxer usalama wa muendeshaji ni mdogo Nadhan ni mambo ya mechanics. Ina nguvu ila muundo wake Kwa ujumla SI salama kw amuenseshaji ukilimganisha na pikipiki nyingine. SINORAY service yake kubwa mafuta na chuma kimeshonwa vizuri. Mara...
  6. P J O

    Samia aahidi trekta 10,000 karibu kila kijiji trekta moja

    Pikipiki, magari baiskeli serikali inasemaga inatoa Kwa vijiji lakini hata siku Moja hatujawahi kusikia zimepaki kwenye ofisini za kata Wala Kijiji, wanatumia hatuwajui. Hizi trekra... Ni another day dream
  7. P J O

    Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Boxer nimeendesha sana lakini Kuna mtoto mpya sokoni anaitwa SINORAY 180 cc ana gear 6. Aiseee
  8. P J O

    Israel ikifanikiwa katika mpango wake wa Greater Israel Watanzania tujiandae kupoteza Ziwa Victoria

    Mitazamo unatoa wewe alafu mwisho unatuuliza sisi. 😂
  9. P J O

    Nimepewa mechi nikashindwa kusimamisha

    Tuelekeze zaidi juu ya nguvu za Giza hapo
  10. P J O

    Aweso aitaka RUWASA ifikishe maji vijiji vyote

    Watanzania sijui nani alituroga, Fundi unamlipa akufanyie kazi alafu wakati anafanya kazi unamsifia hata akidondosha cement, akianguka kwenye ngazi unafia. Ni ugonjwa wa akili. Wananchi tunalipa Kodi WATUMISHI wa serikali akiwemo Raisi watutumikie, wao wanakua kama ndio mabosi sasa alafu...
  11. P J O

    Walinzi wa mwili wa Putin ‘hukusanya kinyesi chake anaposafiri nje ya nchi na kukirudisha Urusi pamoja naye’

    Western media Wanachuki sana na Mzee Putin kiasi hicho 😆😂😂
Back
Top Bottom