Recent content by P J O

  1. P J O

    JamiiForums Tanzania Miji Mingi Inacheleweshwa Maendeleo Na "Assets/Mali Za CCM"

    Mko poa wasoma uzi? Niende kwenye mada, baada ya uanzishwaji wa vyama vingi CCM ilichukua mali zilizokua na Umma na kuweka kwenye milki ya chama. Viwanja vya mpira kama Kirumba, Mwanza, Jamuhuri Dodoma, frame za biashara, stand za mabasi, nyumba na viwanja vingi vilivyokua mali ya umma...
  2. P J O

    JamiiForums Tanzania Benki zetu zina tatizo gani? Vijana hawana ajira, mnashindwa kuajiri tellers na faida mnapata?

    Nakubaliana na wewe kua kuna uvivu wa wafanyakazi wa benki ila haihusishi jinsia ya kike kua wote wavivu Bank yq CRDB ndio imaongoza kwa uvivu
  3. P J O

    JamiiForums Tanzania Benki zetu zina tatizo gani? Vijana hawana ajira, mnashindwa kuajiri tellers na faida mnapata?

    Si kweli, wanawake are just or probably more efficient kuliko wanaume linapokuja swala la kazi zisizohitaji nguvu Tafuta sababu nyingine
  4. P J O

    JamiiForums Tanzania China: Marufuku kwa walio chini ya Miaka 18 kushiriki Mambo ya Dini

    Tofautisha imani na dini Udini ni scum kama unayosema ila imani si kitu cha urithi, ni safari ya kumtafuta Mungu na ukweli as an individual Wengi huishia kwenye udini, hasa Islam ☪️ ndio maana Jihad kwao ni sekunde mbili.
  5. P J O

    JamiiForums Tanzania Askofu Wa Kanisa La Katoliki Apigwa Risasi Na Kuuwawa Msumbiji. Ingekuwa Tanzania Wenye Chuki Binafsi Wangeanza Kumtukana Rais Wetu na kuzusha uongo

    Wala hata isingekua uongo. Mshikwa na ngozi ni mwzi. Alikiri kuua october, hata yakitokea ni yeye
  6. P J O

    JamiiForums Tanzania Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

    Tulioa shape, bikra haizungumziwi na tabia ndio tamanio la mwisho ukiwa kwenye ndoa mbaya
  7. P J O

    JamiiForums Tanzania KERO Utitiri wa fees za Baraza La Famasi ni kero kwa maendeleo ya taaluma ya famasi

    Nguvu ya kupunguza inawezekana kama kodi zingepungua. Mzungu mmoja alisema utitiri wa kodi wa Tanzania zina choke nafasi ya biashara kukua
  8. P J O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania HOJA Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

    Uzalendo Sandie kwa kuweka sera kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye clubs zetu
  9. P J O

    JamiiForums Tanzania HOJA Mwanza, Wilaya ya Ilemela, Tarafa ya Nyamhongoro, Kata ya Ibwinza tuwekewe mradi wa maji

    Serikali Mwanza ni kama haipo, barabara ni aibu, maji ni kero, kuna maeneo kama usagara umeme tunaambiwa mpaka mtu mzito akamwage hela. Serikali ya CCM ituachie jiji letu tukusanye Maputo yetu na kujiletea wenyewe maendeleo
  10. P J O

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Amekaa kijizi
  11. P J O

    JamiiForums Tanzania Alisema hatazuia maiti, leo waliouawa Oct 29 wamezuiliwa na Serikali yake

    Katika ahadi ya 4 ya Mgombea Uraisi kutoka CCM alisema ETI... "Serikali itapiga marufuku hospitali yoyote nchini kuzuia miili ya Marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu aliyopatiwa marehemu yazijalipwa. Serikali itakuja na mfumo mwingine wa kuhakikisha jamaa wa marehemu...
  12. P J O

    JamiiForums Tanzania Kauli Hii ni Apologetic, Japo Mwanzo Alikomaa, Sasa Ameguswa, Ameumia, Amejutia!, Ameomba Msamaha!, Watanzania Tumsamehe, Yaishe Tusonge Mbele!.

    Izp porojo kafanye nyumbani kwako, eti Baba ni kichwa. Hii ni nchi, si mali ya mtu mmoja. Uwajibikaji ni kujiuzulu
  13. P J O

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2025 umeisha tunaingia 2026, Utamkumbuka Samia kwa lipi?

    Murderer
  14. P J O

    JamiiForums Tanzania DSTV Tanzania vipindi vya hovyo kila package, sinema za kurudia rudia kila siku! Mnachofanya ni utapeli. TCCRA hamuoni udanganyifu huu?

    Nauza Dish la DSTV, niliacha kulipia vifurushi muda mrefu sana
  15. P J O

    JamiiForums Tanzania Pesa ya msaada wa El nino ilienda wapi?

    Kwa miaka mitatu sasa maeneo ya Vigunguti ukiwa unatoka Tabata Barakuda unavuka kwenda Upande wa pili wa mto msimbazi kumekua na magari yanachukua mchanga wa mtoni wanasafirisha. Magari ni Makubwa na kutokana na hili mto msimbazi umekua ukitanuka na wakati wa mvua kumesababisha mafuriko Makubwa...
Back
Top Bottom