Asili ya watu wenye rasta hupenda sana kutembea kwa miguu na kutaka kujifinza mambo mengi na watu weupe pia hienjoy kuwa anazungushwa sehemu tofaut na vle wanapenda kutembea ndo wanakuwa wamekutana ila sharo mambo za kutoka jasho hawez kabsaaaaa
Hao ni matapeli wa kinigeria hapo hakuna mwanamke wote wanaoongea ni wanaume sema wanatumia laptop kuchange code za cm yaan unaweza kuta yupo Kenya n anakupa code number ya UK na inapatikana pale pale alipo. Nawajua sana na nilishafanya nao kaz za mitandaon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.