Recent content by p.h.u

  1. p.h.u

    nani anatakiwa kuanza kumvua nguo mwenzie

    WAKINA KE sikuhiz hawavai magauni ni jeans kama ME. Je hapo penye hands up panahuuuuu
  2. p.h.u

    Wanaume na Style Mpya ya Kibuti cha Kufunga Vioo/Kula cobis/Kuchuna!!!!!!!!!!

    Wewe unaweza ua mtu yaan atakupgia wewe nawe itakuwa zamu yako kuuchuna eeeeeh
  3. p.h.u

    Wapi nitapata mtego wa kumnasa mgoni/dawa ya kunasiana?

    Huko temeke ndio kwa wenye mitego ya kunasa panya wa kwenye suruali tu.
  4. p.h.u

    DEDICATION kwa WANANDOA na WATARAJIWA wooote! Tafakari maneno ya wimbo huu!

    Na mara zote mke mwema ndio anamfanya mume awe mwema
  5. p.h.u

    Wadada semeni ukweli, mnampenda nani kati ya hawa wanaume?

    Hahahaaaaa mi ninazo zote hizo mnazozipenda ko karibuni kwenye ulimwengu ewa mipn mizto
  6. p.h.u

    Kwanini wanawake wa kizungu wanawapenda Wanaume MaRasta?

    Asili ya watu wenye rasta hupenda sana kutembea kwa miguu na kutaka kujifinza mambo mengi na watu weupe pia hienjoy kuwa anazungushwa sehemu tofaut na vle wanapenda kutembea ndo wanakuwa wamekutana ila sharo mambo za kutoka jasho hawez kabsaaaaa
  7. p.h.u

    Story: Nilivyomtapeli tapeli wa Kisenegal mwaka 2009

    Hao ni matapeli wa kinigeria hapo hakuna mwanamke wote wanaoongea ni wanaume sema wanatumia laptop kuchange code za cm yaan unaweza kuta yupo Kenya n anakupa code number ya UK na inapatikana pale pale alipo. Nawajua sana na nilishafanya nao kaz za mitandaon
Back
Top Bottom