Best yangu kaoa miaka 3 ilopita kwa style yake, alikua amekaa kiti kirefu akaona binti (kicheche) anapita akamuita akampa viofa akalala nae.
Wiki 2 baadae akamuona anavinjari na jamaa mwingine , akaniita akaniambia, "unaona kale kakikicheche nimepita nae!!" haijapita hata mwezi jamaa kanipigia simu nimfuate mahali nikamkuta yupo na yule mdada tena.
PAUKWA PAKAWA ...Jamaa hamuiti tena kicheche/cheni/kichaka/mlupo ...anamuita BABY!! na ananinisisitiza niwe na heshima kidogo akiwepo....mara mimba, mara mtoto.
Katika maisha riziki hupangwa na Mungu na kwa kweli huyu mtoto kaja na riziki maana jamaa vihela vinampitia siku hizi.
SHIDA INAANZA, MAMA KAPENDEZA KWELIKWELI Jamaa hapati usingizi kisa mama alikua mama huruma na zile njemba zake za zamani zitakua zinaendeleza.
Ametega mitego yote za kushtukiza hola, ametuma marafiki wakajaribu kutongoza lakini hola (anahisi wanakubaliwa lakini wanaficha),sasa anatafuta dawa za kunasiana ili amtegeshee mkewe.Wapi atapata?? wapi nimuelekeze???
Dawa ipo andaa laki mbili alafu npm.Best yangu kaoa miaka 3 ilopita kwa style yake, alikua amekaa kiti kirefu akaona binti (kicheche) anapita akamuita akampa viofa akalala nae.
Wiki 2 baadae akamuona anavinjari na jamaa mwingine , akaniita akaniambia, "unaona kale kakikicheche nimepita nae!!" haijapita hata mwezi jamaa kanipigia simu nimfuate mahali nikamkuta yupo na yule mdada tena.
PAUKWA PAKAWA ...Jamaa hamuiti tena kicheche/cheni/kichaka/mlupo ...anamuita BABY!! na ananinisisitiza niwe na heshima kidogo akiwepo....mara mimba, mara mtoto.
Katika maisha riziki hupangwa na Mungu na kwa kweli huyu mtoto kaja na riziki maana jamaa vihela vinampitia siku hizi.
SHIDA INAANZA, MAMA KAPENDEZA KWELIKWELI Jamaa hapati usingizi kisa mama alikua mama huruma na zile njemba zake za zamani zitakua zinaendeleza.
Ametega mitego yote za kushtukiza hola, ametuma marafiki wakajaribu kutongoza lakini hola (anahisi wanakubaliwa lakini wanaficha),sasa anatafuta dawa za kunasiana ili amtegeshee mkewe.Wapi atapata?? wapi nimuelekeze???
Best yangu kaoa miaka 3 ilopita kwa style yake, alikua amekaa kiti kirefu akaona binti (kicheche) anapita akamuita akampa viofa akalala nae.
Wiki 2 baadae akamuona anavinjari na jamaa mwingine , akaniita akaniambia, "unaona kale kakikicheche nimepita nae!!" haijapita hata mwezi jamaa kanipigia simu nimfuate mahali nikamkuta yupo na yule mdada tena.
PAUKWA PAKAWA ...Jamaa hamuiti tena kicheche/cheni/kichaka/mlupo ...anamuita BABY!! na ananinisisitiza niwe na heshima kidogo akiwepo....mara mimba, mara mtoto.
Katika maisha riziki hupangwa na Mungu na kwa kweli huyu mtoto kaja na riziki maana jamaa vihela vinampitia siku hizi.
SHIDA INAANZA, MAMA KAPENDEZA KWELIKWELI Jamaa hapati usingizi kisa mama alikua mama huruma na zile njemba zake za zamani zitakua zinaendeleza.
Ametega mitego yote za kushtukiza hola, ametuma marafiki wakajaribu kutongoza lakini hola (anahisi wanakubaliwa lakini wanaficha),sasa anatafuta dawa za kunasiana ili amtegeshee mkewe.Wapi atapata?? wapi nimuelekeze???
.....hii ndo ile wanasema, "mchele kisoda nazi sita"...Sasa presha za nini? Kumbe anamjua toka zamani kama ni kicheche kayataka mwenyewe amwache binti wa watu anasiane alafu? Aibu yake mwenyewe! Aache ujinga!
Best yangu kaoa miaka 3 ilopita kwa style yake, alikua amekaa kiti kirefu akaona binti (kicheche) anapita akamuita akampa viofa akalala nae.
Wiki 2 baadae akamuona anavinjari na jamaa mwingine , akaniita akaniambia, "unaona kale kakikicheche nimepita nae!!" haijapita hata mwezi jamaa kanipigia simu nimfuate mahali nikamkuta yupo na yule mdada tena.
PAUKWA PAKAWA ...Jamaa hamuiti tena kicheche/cheni/kichaka/mlupo ...anamuita BABY!! na ananinisisitiza niwe na heshima kidogo akiwepo....mara mimba, mara mtoto.
Katika maisha riziki hupangwa na Mungu na kwa kweli huyu mtoto kaja na riziki maana jamaa vihela vinampitia siku hizi.
SHIDA INAANZA, MAMA KAPENDEZA KWELIKWELI Jamaa hapati usingizi kisa mama alikua mama huruma na zile njemba zake za zamani zitakua zinaendeleza.
Ametega mitego yote za kushtukiza hola, ametuma marafiki wakajaribu kutongoza lakini hola (anahisi wanakubaliwa lakini wanaficha),sasa anatafuta dawa za kunasiana ili amtegeshee mkewe.Wapi atapata?? wapi nimuelekeze???