Recent content by P didi

  1. P

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Mkuu niaje.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Si kweli we ni dalali wa viwanja na mashamba acha utapeli
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mfanyie haya mtoto wako wa kiume Baada Aje Akushukuru atakapojitambua

    Wa kwako umemfanyia hayo?.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mmuya aanza ziara ya kikazi mkoani Mtwara

    Ni jambo zuri ajitahidi kutatua kero kubwa ya wananchi ni ardhi.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Walio karibu na Heche mlindeni sana

    Ni kweli mkuu alindwe, ccm maji yakiwafika shingoni hawana huruma wala utu, kifo cha dereva wake ujue kakoswa yeye.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wafuasi wa vyama vya siasa wenye tabia ya kufurahia vifo na misiba ya binadamu wengine, nao kufiwa, inatoa funzo gani kimaisha?

    Kifo ni jambo la kawaida kwa kila binadamu kutokana na maradhi labda awe ametekwa na serikali ya ccm kama Huphrey Polepole ila akifa mwanaccm baadhi ya wananchi hufurahi kwa sababu wengi wa viongozi wa ccm ni mafisadi na wezi wa mali ya umma kitendo cha kufa ndio mwisho wa wizi na ufisadi wake...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Biashara 4 zenye Faida kubwa zaidi nchini Tanzania kwa sasa. Matajiri hawataki uzijue

    Wewe upo wapi kati ya uliyoitaja.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Jaji Masaju: Kama hatutaki kuingiliwa na Wanasiasa, Sisi wenyewe ndani ya Mahakama tuwe Wasafi

    Ni sawa ila serikali ya ccm haiko tayari kwa hilo.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Chadema yagoma Daktari wa serikali kuchunguza kifo cha Dereva wa Heche, yaleta Daktari wa Chama chao

    Serikali ya ccm inahusika ni baada ya dereva huyo kukataa mipango ya kumdhuru na kumsababishia ajali Makamu mwenyekiti Chadema John Heche.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Chadema yagoma Daktari wa serikali kuchunguza kifo cha Dereva wa Heche, yaleta Daktari wa Chama chao

    Kitendo cha kukataa kumdhuru Makamu mwenyekiti Chadema John Heche wameamua kumuua yeye kufuta ushahidi.
Back
Top Bottom