Recent content by P didi

  1. P

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Ewe Mwiislamu ukienda Hijja Makka na Madina kuwa makini kuna wezi.
  2. P

    JamiiForums Tanzania John Heche Anaweza: Kikwazo Chake ni Lissu

    Kama ambavyo unafirwa na mimi.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Walihama sababu ni njaa na tamaa ya madaraka si wavumilifu, kiufupi ni wasaliti.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Hapana mkuu ukweli lazima usemwe.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Ni aibu ya dunia kwa Waislamu na dini yao kuibiana kwenye ibada takatifu Makka na Madina.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Mwigulu hana meno Uwaziri mkuu kapew na wanamtandao kutoka Msoga kulinda maslahi yao akienda kinyume wanamuua au kuondolewa.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Kasema uache kufirwa na mimi.
  8. P

    JamiiForums Tanzania IFIKE MUDA MZEE WARIOBA AJIHESHIMU

    Kama una njaa njoo tukubandue tukupe conection uache kuishabikia ccm
  9. P

    JamiiForums Tanzania IFIKE MUDA MZEE WARIOBA AJIHESHIMU

    We choko huna maisha acha kujipendekeza njaa inakusumbua Warioba ni mzalendo wa kweli kuliko wezi na watekaji ndani chama chako ccm.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bado Ofisi ya Msajili inatafuta njia Shughuli za CHADEMA zisimamishwe, tumeandikiwa barua tujieleze

    Wakajieleze kwa sheria zipi walizovunja? toka lini msajili akawa mahakama.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ni duka gani la nguo na viatu naweza kupata bidhaa original?

    Nitakwenda mkuu.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bado Ofisi ya Msajili inatafuta njia Shughuli za CHADEMA zisimamishwe, tumeandikiwa barua tujieleze

    Msajili wa vyama anapewa (amri) maelekezo na watawala hana ubavu wa kukataa lakini ajue CHADEMA ni taasisi kubwa inayoungwa mkono na wanainchi.
Back
Top Bottom