Recent content by OZAN KABAK

  1. O

    JamiiForums Tanzania Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

    Unapoteza muda mwingi kuandika upuuzi Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
  2. O

    JamiiForums Tanzania Muhimbili waanza kulipisha tozo ya kuegesha magari, utaratibu utakuwa kwenye majaribio kwa wiki mbili

    Dalili za mwisho wa Dunia,Daktari badala ya kuwafikiria wanaokuja kuuguza wanatumia gharama kubwa kiasi gani? Kuna wengine wanauguza mgonjwa Hadi wanafilisika na bado mgonjwa anakufa,na wanabaki na Deni hospitali lakini bado mnaona hao watu walipe na hela ya maegesho ya magari,wajue kabisa...
  3. O

    JamiiForums Tanzania Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

    Kitendo Cha kumkubali Magufuli ni zaidi ya kuomba msamaha.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaongoza Afrika kwa kuwa na asilimia chache ya raia wake ambao ni diaspora

    Watanzania wengi waoga,wanaogopa Changamoto za Maisha ya nje ya Tanzania.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

    Mimi pia Mwanzoni nilijipa muda ili nipate uwelewa kuhusu huu Mkataba, ila hii nguvu inayotumika inaonyesha wazi hakuna Nia njema.
  6. O

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mjadala wa Bandari unajadiliwa kishabiki. Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana

    Hata uko Zanzibar wao wenyewe wanabaguana ndio maana wanasema hawataki kuongozwa na machotara.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Wabunge wote ni Wafanyabiashara na ndio wanaopitisha Sheria, sheria mbovu ndio huzaa Rushwa!

    Wafanyabiashara walikua na Slogan yao ili ufanye biashara zako bila usumbufu wowote,sharti uwe CCM na uwe karibu na Viongozi wa CCM,sijui Kama walishabadili mtazamo wao? [emoji848]
  8. O

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa Chalamila: Ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu wakati mimi nipo

    Wakuu wa Mikoa walikua wanaaminika Zamani,Sasa hivi wanaonekana Vituko tu hakuna kitu wanachoweza wakaongea kwenye jamii wakaaminika wanaonekana ni Chawa tu wakumsifia Rais ila hawana wanachoweza kuisaidia jamii.
  9. O

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kumhamishia Chalamila Dar es Salaam, Umelipokeaje?

    ameletwa Dar kufanya Vituko uyo
  10. O

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa Lissu umeondoka na JPM? Kwa sasa umeshuka mpaka kufikia asilimia 25, namuona Heche akichukua kijiti

    Umaarufu wake umeisha,Je Umaskini wa Watanzania nao umeisha?
  11. O

    JamiiForums Tanzania Bila uzalendo hata tujenge hospitali au shule kila kata, bado ni Bure.

    Baada ya watu kuona Vita dhidi ya Ufisadi hata Zama za Rais Mzalendo na msemakweli bado zilikua Vita zinazochagua fisadi yupi wa kushughulikiwa na yupi wa kuachwa,hakuna Mtu mwenye akili timamu anayeamini Kama Ufisadi unaweza kuisha kila mmoja anautazama Ufisadi kwa engo yake.
  12. O

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

    Unachanganya mada,hao wanatakiwa kusgughulikiwa ni wafanyakazi na sio matajiri
  13. O

    JamiiForums Tanzania Baba afungwa jela Maisha kwa Kubaka Wanae Wakike wawili na kumlawiti wa Kiume

    Kwanini kila aliyewalawiti watoto wake anakuwa ametengana na mke wake? Je ni kweli Baba Mzazi anaweza kuwalawiti watoto wake watatu wa kuwazaa? Je Mke anakuaje shahidi wakati anakua ametengana na mume [emoji848]
  14. O

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Uko Kitengoni pia Kuna mashoga kibao
  15. O

    JamiiForums Tanzania Siwaelewi CCM: Magufuli alipopiga marufuku mikutano ya kisiasa walipongeza, sasa hivi Samia kairuhusu wanapongeza pia!

    Wanaomsifia Rais ni Wala Rushwa,wauza madawa ya kulevya,wezi wa Madini na Mafisadi.[emoji848] Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom