Recent content by Outlaw_

  1. Outlaw_

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Hafai hata kuitwa mke huyo
  2. Outlaw_

    USHAURI: Millioni 15 hizi nizitumie kujisomesha Chuo Kikuu au niingie mtaani nianzishe biashara?

    Kama una uhakika wa kupata ajira baada ya kumaliza masomo nenda shule, ila kama unasubiria uje utembee na bahasha kwenye maofisi ya watu ukiomba kazi bora uanze biashara mapema hakuna kitu chenye thamani kama muda!
  3. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Ingekua kila anaevuta bangi anakua kichaa unafikiri mitaani pangekalika? Au unafikiri wavuta bangi ndio wachache kiasi hicho? Alafu utaka kupindisha ukweli kwamba nicotine iliyopo kwenye sigara haisababishi kansa ya mapafu?
  4. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Ndivyo ukweli ulivyo, mmea na kazi ni vitu vinavyoenda sambamba sana
  5. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Kuna wengine baada ya hapo ni kazi, ukitaka kuona vizuri hili nenda vijijini ukaone maajabu ya hawa watu kwenye kazi, zamani mababu zetu walikua na nguvu kulima robo hekari mtu mmoja lilikua jambo la kawaida lakini siku hizi wanaweza wavuta bangi tu, jiulize kwanini hizi nguvu za asili zimeweza...
  6. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    One Love! Mkuu ukweli umepotoshwa kwa kiasi kikubwa sana kuhusu huu mmea
  7. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Ukilinganisha na hivyo vingine vibaya ambavyo wamevifanya ni "legal"
  8. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Alafu mimi nipo hapa kuwakilisha wanaotumia mmea tu, sio hao wahuni/vibaka wanaotumia hadi unga na pombe ili walipuke wakafanye ushetani wao
  9. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Naongelea kazi halali tu hapa mkuu
  10. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Asante, na nimefurahi kwa mfano halisi uliotoa wa shemeji yako, hapa utajifunza kua bangi haina tatizo ila tabia za mtu ndio tatizo maana hili suala uliloliongelea hiyo tabia imeshamiri sana mitaani kwa sasa hivi na wengi wao hata hawatumii huu mmea, utaona hapo tatizo ni tabia ya mtu na sio ile...
  11. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Mimi pia naongea kutokana na uzoefu japo tunatofautiana wewe unaongea kwa uzoefu wa kuona me naongea kwa uzoefu wa kutumia, mkuu hao unaowaongelea wewe ni wale vijana "wahuni" wasiopenda kufanya kazi! Muda wote wapo maskani wakivuta tu bangi lakini sio wote kama ilivyo pia kwa baadhi ya walevi...
  12. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Nilishajifunza
  13. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

  14. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Walegalize tulipe kodi, sasa hivi unataka hiyo kodi ikalipwe police station? Mnasema zina sigara mchango mkubwa kwenye kodi hii hapa ndo funga kazi sasa kwa nchi ambazo zilishajitambua
  15. Outlaw_

    Kiwanda cha mmea

    Hao ni wale ambao hawafanyi kazi, muda wote maskani
Back
Top Bottom