Watekaj/wavamiz na wote wanaoratibu vitendo vya uovu parapanda yao imewadia sala za wenye haki hufuka kama moshi wa ubani mbele ya macho ya Muumba.Tuendelee kumtumainia Mungu aliye hai wahusika watalia na kusag meno wla hapatakuw na wakuwasaidia.
Muda wa siasa z kubembelezan umeisha...hyo mchaggawenu akishnda tn uenyekit hakun rangi mtaach ona...lisu ni aina ya mtu anayetakiw kwa zama hizi tantalil zngne hazihitajiki kbs
Tatzo la kunyw baa zenye mabaunsa uchwara...ss hpo watu wanakimbia kimbia ovyo wanashndw ht kuamua ujinga mtupu...jamaa kaangushwa kama gunia alishndw ht kutumia silaa ya meno ptuuuh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.