Recent content by Otto Von Bismark

  1. O

    James Ole Millya na mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA Arusha huu hapa

    Kwa taasisi ipi? Ya Lowassa? kumbuka Lowassa na Sendeka haziivi
  2. O

    James Ole Millya na mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA Arusha huu hapa

    Wana Jamvi, Pengine ninaweza nisieleweke kwa jambo hili muhimu ninalolisema hapa, pengine ninaweza nisieleweke hasa kwa wale wenzetu ambao ni vigumu sana kutumia kichwa kwa kufikiri. Hata hivyo, pamoja na kwamba wamezoea kutumia vichwa vyao kwa kufugia nywele, wana fursa ya kutoa maoni yao hivyo...
  3. O

    Polisi Arusha wawekwa mfukoni na Lowassa na Monaban

    Wadau, Wengi wanaweza wakadhani ni siasa, lakini ndiyo ukweli, kwamba Jeshi letu la polisi chini ya RPC, RCO wamekuwa wakitumia nafasi zao vibaya kinyume na wanavyotakiwa kuwa. Jeshi hili la polis limegeuka kuwa wajumbe waaminifu kwa CCM hasa Lowassa na Saiteru (Monaban) kwa kutekeleza...
  4. O

    Jeshi la polisi V/s wananchi

    Jeshi la polisi limeasi kwa kutumwa kuasi na Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ili litumike kuwakandamiza wananchi wadai haki. Wabunge wa tiketi ya CCM wameasishwa na chama chao ili kuwafanya wananchi kuwa watumwa wao badala ya kuwa waajiri wa serikali. Chama cha CCM na serikali yake...
  5. O

    Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

    NCCR-Mageuzi 1 0.66% Chama Cha Mapinduzi (CCM) 11 7.24% CHADEMA 133 87.50% ACT-Tanzania 5 3.29% TLP 0 0% CUF 2 1.32% Reply to Topic
  6. O

    Ni Chama Gani Chenye Mvuto Kwa Wananchi

    CHADEMA ina mvuto wa kipekee kabisa ukilinganisha na chama changu ccm
Back
Top Bottom