Recent content by Otto Emmanuel

  1. O

    JamiiForums Tanzania Mh.Sakaya: Mimi ni mjumbe hatujawahi kupendekeza majina ya Katibu wa Bunge

    Hii ni aibu na tatizo la hapa ni wapambe kama Rais angekuwa na washauri asingekuwa anafanya haya ya aibu hivi!!!
  2. O

    JamiiForums Tanzania HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

    Napende keza hawa watu wasiojulikana walio mteka na kumuumiza Roma mkatoliki Ben Saanane Walio mtolea bastola Nape Nnauye Na leo Wamemshambulia Mhe.Tundulisu Wakijuli kana Wakabidhiwe kuhifadhiwa na watu wenge Hasira kali[emoji769] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Wewe utaolewa tena sio mda mrefu! Kwa7bu umeweka wazi lakini pia endelea kujitathimin huenda ukawa na vidosari japo wewe haukubali kuwa unavyo! Wenzio walishindwa kuolewa eti kwa vile walimiliki uchumi hivyo waoaji hawakupenda kudharilishwa wakagoma kuoa!
  4. O

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    Ukweli ni kwamba tunashindwa kujua nani mkweli nani muongo! Mara huyu sitta hajafariki huyu nae sitta amefariki nini hiki? Tumuamini nani?
  5. O

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, Samwel Sitta afariki dunia

    Mbona habari hii inatuchanganya vichwa? Mara huku amefariki huku nako hajafariki nani anao ukweli?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Leo Kubenea Anamshangilia Zitto!!??

    Zzk anafanya siasa za maswala hafanyi siasa za mtu na mtu.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Leo Kubenea Anamshangilia Zitto!!??

    Kwani kakosea wapi huyo S.Kubenea kanogewa na uwasilishaji wa Mzalendo Zzk kampa haki yake, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu aliponiaibisha kwa kumtekenya dereva wa bodaboda!

    Wala hupaswi kumtenga ila msaidie aache hako katabia nihatari kwr!
  9. O

    JamiiForums Tanzania Waziri wa madini: Mgodi wa madini wa dhahabu wa Geita utaleta maafa

    Sijuu hawa wanaounga mkono uchimbaji wa chini kwa chini wanajua kuna kesho? Nadhani ndg waziri aangalie upya swala hili sio la kupuuza! Kama nihivo basi mamlaka husika ingetutahadharisha kuwa kutatokea tetemeko ili tujiandae na kukabiliana na janga hili! Niitumie nafasi hii kuwapa pole ndg zangu...
  10. O

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

    Hii ni dalili mbaya sana ufalme unarejea polepole ngoja tusubiri huyu naona anaweza hata kug'ang'ania hapo..
Back
Top Bottom