Hujaeleza vizuri lakini ww utakua una tatizo moja linaitwa Tight pelvic floor. Ukiwa na hilo tatizo damu haiwezi pita vizuri kwenda kwenye uume, na kama ikipita ni kwa kidogo sana ambayo haiwezi kufanya uume usimame muda mrefu. Na tatizo hilo pia linafanya uweze kufika kileleni kwa haraka mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.