Recent content by Ototo

  1. O

    Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Ubwege ubwege mwingi humu
  2. O

    Kanda ziwa ina watu wachoyo, wenye wivu na roho kuliko sehemu zote

    Nenda mbeya kwa wanyakyusa hawana noma kabisa wale watu
  3. O

    Uume hausimami baada ya kutumia tadalafi mara 40 kwa miaka 3 wakati Tofauti Tofauti

    Hujaeleza vizuri lakini ww utakua una tatizo moja linaitwa Tight pelvic floor. Ukiwa na hilo tatizo damu haiwezi pita vizuri kwenda kwenye uume, na kama ikipita ni kwa kidogo sana ambayo haiwezi kufanya uume usimame muda mrefu. Na tatizo hilo pia linafanya uweze kufika kileleni kwa haraka mno...
  4. O

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Ngoja tusubiri tuone zimebaki week chache tu
  5. O

    Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Mmmmh sidhani kama ni hao. Na kama ni wao basi ni wanatumika tu
  6. O

    Wapi nitapata dawa ya tadalafil 5g?

    Hapana haishauriwi kufanya hivyo
  7. O

    Wapi nitapata dawa ya tadalafil 5g?

    Niko Dar es salaam
  8. O

    Wapi nitapata dawa ya tadalafil 5g?

    Msaada wadau nina uhitaji na tadalafil 5g ila nimezisaka sana bila mafanikio pharmacy nyingi wana 20g
Back
Top Bottom