Mimi nadhani tukiingia kwenye facts, wizara ya elimu haimfai huyu bwana. ukiangalia uwezo wake wa kujenga hoja na upeo wake wa mwono kwa wizara yenye wasomi na taasisi za elimu ya juu kama wizara ya elimu, anapwaya sana. kama ni muhimu katika chama basi apewa kazi nyingine.
Ni watu ambao ukiwasikiliza vizuri, utagundua mara nyingi wanadhani yale wanayoyasema na kuyafikiri ndo sahihi, na shida yao kubwa ni kutopenda kujifunza.Nadhani waelimishwe kiundani nini maana ya neno historia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.