Pole sana mkuu. Mimi wapangaji wangu wakizingua tu kulipa kodi nampa notice ya siku saba awe tayari amenikabidhi funguo za nyumba, na pia nyumba aiache ikiwa na hali ya usafi kama siku anaingia.
Pili bill ya maji ni shared kwa kila apartment block, hivyo ikitokea mpangaji anazingua tu kulipa...
Dear fellow Rwandese woman,
I am looking for a woman with a good heart to bond together by establishing a very good family together.
I am Tanzanian, government employee, 38 years old, Christian - roman Catholic, graduate from University (Tz and Europe) looking for a beautiful Rwandese woman who...
Ni kweli kabisaa usemayo. Nipo zaidi ya serious! Yaani namaanisha toka moyoni mwangu kuwa nahitaji mwanamke wa kujenga familia bora pamoja ambaye naye toka moyoni mwake pia ana uhitaji na anataka aheshimike kuwa Mrs somebody.
Hivyo niseme tu 'karibu kwa mwanamke mwenye uhitaji " tufanye maisha...
Sina uwoga lakini nahitaji kupata mwanamke mwenye uhitaji wa mume na nadhani hata hapa jukwaani wapo au kuna ndugu na marafiki ambao wana uhitaji kama wangu.
Huyo simfahamu lakini kama kweli yupo na ana uhitaji wa mume wa kufanya nae maisha pamoja hakuna tatizo lolote, unaweza tu ukamkaribisha na tukiridhiana basi itakuwa HERI.
Habari ndugu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Mimi ni mpweke na nipo singo, natafuta mwanamke ambaye atanipa faraja moyoni kwa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
Nina uhitaji wa mwanamke ambaye atakuwa mstari wa mbele kushirikiana nami kwa maisha ya familia ili kuleta furaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.