Mkuu, albinism na sickle cell husababishwa na recessive gene, yaani hivi vinasaba huwa haviwezi kujionesha vinapokuwa vyenyewe, sasa basi katika tafiti siku hizi tatizo hili limeongezeka na kuacha maswali mengi, eti upande wa mke hakuna albinism na baba hamna albinism sasa je inakuwaje?
ukweli...