Recent content by ote

  1. O

    Siloam church

    Hata Mimi sielewi kuhusu hili dhehebu mwenye taarifa atujuze
  2. O

    Je, ungekubali kukatwa kidole pindi mume au mke wako anapofariki dunia?

    Jamii moja inawakata viganja wapendwa wao ilikuonyesha mapenzi kwa wapendwa wao walioaga duniaDuniani kuna afua mbili. Kufa au kupona. Jamii nyingi hutofautiana jinsi wanavyomkaribisha mwana wao humu duniani na pia jinsi wanavyopuaga anatangulia mbele ya haki. Katika jamii nyingi duniani, kuna...
  3. O

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Wakuu hii mambo ya albinism na sickle cell kwa sasa ni matokeo ya inbreeding yaani mnaoana wenyewe kwa wenyewe huko vijijini nawashauri ili kuondoa hizi recessive gene tutafute wake au waume mbali na mikoa yenu. kwaufupi ni waambie tu kwamba kwa Africa sickle cell ipo west Africa na kwa Tanzania...
  4. O

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Mkuu, albinism na sickle cell husababishwa na recessive gene, yaani hivi vinasaba huwa haviwezi kujionesha vinapokuwa vyenyewe, sasa basi katika tafiti siku hizi tatizo hili limeongezeka na kuacha maswali mengi, eti upande wa mke hakuna albinism na baba hamna albinism sasa je inakuwaje? ukweli...
  5. O

    An albino toddler kidnaped in Chato

    Dar es Salaam (AFP) - An albino toddler has been kidnapped in northern Tanzania, police said, raising fears he may be killed and his body parts used for witchcraft. Unknown attackers broke into the house and slashed the child's mother with machetes before snatching the one-and-half-year-old boy...
  6. O

    Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

    Utazijuaje hizo clone?
  7. O

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Mkuu ikizidi 130m gharama zinakuwaje? je kwa Dodoma bei ikoje?
  8. O

    Kwanini magari ya serikali yaliitwa mashangingi?

    Pia matumizi yake yaani Mafuta na maintenance cost ni sawa na kumtunza shangingi
  9. O

    Nauza RAV4

    Picha hizo kwa serious buyers tu 0765 288 561 bei ni 8.5m
  10. O

    Mwanafunzi auwawa kisa kakataa kuolewa!

    Poleni dada zeta mnaopigania elimu, hii damu ya huyu mwanafunzi iwe chachu ya kupigania elimu ya mtoto wa kike,
  11. O

    Nauza RAV4

    Ni RAV4 Milango 5 ya Mwaka 1995, imetumika hapa Tanzania, ipo ktk Hali nzuri mno
Back
Top Bottom