Naomba muongozo kidigo kama unafahamu, nifanyaje, maana nimeshalipa ada wakanambia et nina leseni kubwa kwahy sheria haziwaruhusu mm kusoma basic driving
Naomba kuuliza. Kwa mtu mwenye leseni class c1, c2, c3 ambayo aliinunua yaani hana cheti cha veta, je akihitaji kwenda kusoma kozi ya basic driving ili apate cheti anaruhusiwa???
Samahanini ndugu zangu, mimi ni kijana mwenzenu nina miaka 24, elimu yangu ni kidato cha sita, natafuta boss anokabidhi gar kwa ajiri ya biashara ya uber/bolt
Namba yangu ni hii
0693010116
Habari ndugu, nina miaka 24, elimu yangu kidato cha sita, pia ni dereva nina leseni inamadaraja yote isipokua c kavu, nahitaj mwenye kujua boss au connection gar la uber/bolt naombeni msaada wanu.
Namba yangu ni hii
0693010116
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.