Unaweza ukawa sahihi. Nilishawahi shuhudia tukio la jilani yetu binti wa kiislamu akizikwa kwa muda usipoungua masaa mawili tangu afariki baada ya kuanguka alipokua anapika chakula jikoni. Mbaya zaidi hata mama yake aliyekua sokoni hakuwahi kuzika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.