Recent content by OSCAMO

  1. O

    JamiiForums Tanzania Tanzanian president urges Ministers to 'take advantage' of refugee crises

    Wacha upumbavu. ******** anafurahia shida za waafrika ngozi nyeusi. Shenzi yeye. Kwani wanaopigana ni wakimbizi au ni wanamgambo? Jitu pumbavu tu kama hiyo avatar yako!!!
  2. O

    JamiiForums Tanzania Sakata la Korosho: Ni kweli Mkuu wa Nchi amedhamiria, Lakini tungependa kujua baadhi ya Mambo...

    Umegonga ndipo. Jiwe anafikra za kijamaa sawia na Nyerere; fikra ambazo kwamba inachukia sana mtu kufanya biashara na kupata faida.
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzanians, come here lets reason together

    Laana iliyoipata Tanzania ni kumtawaza askofu Nyerere kama kiongozi wa nchi. Lile jambazi lilifkiria kwamba nchi inaongozwa kwa imaginations za mtu. Akaivuruga danganyika kielimu, kiuchumi, kijamii, kimaendeleo...etc. Mwinyi na Kikwete walijaribu kuwakomboa wadanganyika lakini mega-fool...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Anguko la uchumi nchini Kenya linazidi kupamba moto

    Povu tu. Pumbavu mkuu Nyerere alipaswa kuishi kwenye monestry la kikatoliki ila akajiingiza kwa siasa na kueneza upumbavu wake kwa wadanganyika. Sasa laana nyingine linaloitwa jiwe ambalo ni doctor na hata kiingereza hakijui. Mtazidi kuisoma number. Tanzania kuifikia Kenya ni shabaha...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msituletee Kiingereza chenu hapa- W.Ruto!

    Kila mkenya yuamjua Ruto ni nani. Huyu ni jambazi sugu alobobea kwa uwizi wa mali ya ummah na mauwaji ya kinyama. Kwa hivyo matamshi yake hayo kwake yeye mbona ya kawaida tu?
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uhuru Kenyatta aache kupanic, kama ameheshimu uamuzi wa mahakama.

    Uhuru amebabaika sana. Anajua ukora wake umegundulika. Tangu Enzi za Kibaki na sasa Uhuru, lao kubwa lilikuwa: 1 - Kushirikiana na mafisadi wa tume la uchaguzi kuiba kura 2 - Baada kutangazwa mshindi, moja kwa moja anaamrisha askari watekeleze unyama kwa yeyote anedai haki ili kuingiza hofu kwa...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

    Uhuru Kenyatta yuababaika sana kwa maana ukora wake umesitishwa.
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    which god nyinyi mijambazi. Hata pastors wenu ni kama nyinyi tu! Nyoka
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    Tusibiri tu. Hamtapata amani Kenya mzima.
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    Upo wapi? Kiambuu? Nyeri? Sema upo wapi kisha tusubiri!
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    Tunaomba watanzania mutume majeshi kumuondoa huyu jambazi kwa jina uhuru. Kwa kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu! Hivi alivyokuwa akikariri mambo ya kudumisha amani, nilijua tu mipango ya uwizi ushaiva. Tofauti na mwaka wa 2007 kibaki alivyoiba kura kijinga jinga tu, sasa wamegundua uwizi wa...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: IEBC ICT Manager, Chris Musando body found at City Mortuary three days after he went missing

    Huyo mshkaji nilikuwa nishaanza kumhurumia kwani ni dhahiri hii ni mauaji ya kisiasa. Ila jambo linaloniudhi ni kuwa wengi wa wanaouliwa huingia mtegoni wakiwa walevi na kutembea na Malaya. Msando pia imebainika alikuwa na kijischana cha 21yrs ilhali ana mke nyumbani! Hata kama haiusiani na kifo...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYANS AVOID RAILA ODINGA

    Ishara zote zaonyesha Raila atashinda uchaguzi huu. Ila Uhuru ashauriwe na Kibaki aregelee ujanja wa 2007.
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wayne Rooney sees pre-season trip to Tanzania as perfect way to get to know Everton team-mates

    Wewe ni mzito sana kwa kufahamu jamani!:D Hebu nenda stadium huko Dar utaona (track) ya mbio. Kisha humo katikati utaona uwanja wa nyasi (field). Kisha, ingia youtube type (IAAF world athletics championships) utaona huku wanariadha wengine wakishindana mbio, wakati huo huo wengine wanashindana...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya takes the lead in medical tourism

    Kawaida ya baadhi yenu! Bora mtu atoe jibu la kifidhuli hata kama hana la kusema. It's hard to deal with facts! Ujamaa hoyee!
Back
Top Bottom