Recent content by Osale 1

  1. O

    Mungu amjalie moyo wa subira Rais Samia kwa maumivu makubwa aliyopata kutokana na maafa ya Hanang

    Uzalendo ni kuipenda nchi sio kiongozi maana kwa Afrika wazalendo ni wakina Thomas Sankara, Nyerere, Gaddafi na baadhi wachache sana.. Wewe unaonekana umekulia porini maana ungekuwa una exposure ya kutembea duniani huko alafu uangalie na Tanzania miaka 62 ya uhuru jumlisha resources kibao...
  2. O

    Wabongo acheni kukariri maisha

    Nilijua nimeandika mimi kumbe sio, tupo wengi na umeandika vyema sana kiasi sina la kuongeza...
  3. O

    Askofu Gamanywa awashukuru Waumini kwa matoleo ya Sadaka ya Kuwasaidia Israel, asema itapelekwa Mji Mtakatifu!

    Kuna mambo yanayofanyika bongo tunazidi kuthibisha namna gani waafrika hatuna akili..
  4. O

    Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

    Upo sahihi kabisa tena nahisi ni zaidi ya upumbavu japo umeweka hoja nyepesi lakini haiondoi maana halisi
  5. O

    "Kindo kisha lya na mwanamau" hii ndo siri inayowaunganisha wachaga

    Kindo kicha lya na munamau, nee kacha sa siku tii shindo shilealachika
  6. O

    Atheists wameanza kuwa na uchungu na misimamo yao

    Ukidadisi kiundani kuna vitu vinachanganya kidogo, waislam wanamuabudu Allah na vitu wanavyotegemea kupewa peponi ni tofauti na ambavyo Wakristo wanavyotegemea kupata mbinguni.. Waislamu wana Israel wanasema mtoa roho wakristu hawana Wakristo wanaamini baada ya kufa na kufika mbinguni hakuna...
  7. O

    Ukiwa kama abiria unasafiri safari ya mbali ni vizuri ule nini njiani na uepuke kula nini

    Siku tumetoka home baada ya sikukuu ya December bi mkubwa akanipa maziwa fresh nikapiga kama lita nzima ya moto, kuanza safari haikuchukua ata nusu saa balaa likaanza niliteseka mpaka nafika uzuri tulikuwa na private ila ingekuwa bus safari ingekufa
  8. O

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Kwenye movie ya 3 idiots kuna sehemu jamaa anasema the voice is his but words are mine..hopeful nimeeleweka
  9. O

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Sema wewe sasa alipigwa ngapi? au alikatwa na mapanga?
  10. O

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Waliokuwa brainwashed watakupinga ila unasema ukweli mtupu, turudi imani zetu za kale..
Back
Top Bottom