Asante Mkuu ukweli lazima uelezwe. Baba yake Karume hakua chaguo la wazanzibari. In my opinion she should focus on her life and career. Kwani huu urais aligombea yeye? Mweee....
Tena Pia bila ya mafujo na mabomu ya kushtukizia na machozi. Tunataka Ku enjoy Unguja kwa furaha na kufanya shughuli zetu. Same nonsense over and over again zimechosha.
Na hao mawaziri wenu walopewa ukubwa pamoja na Seif ndani ya Serikali mbona hamsemi? Acheni uongoja jamani. Na Shein si kwao Pemba? Kama kumkani hajahusu Pemba mumkane mapema kieleweke.
Acha uongo. Wapemba wamejaa tele nchi za nje na wanasoma pia. Kama munaona watu Wa Unguja ni wabaya basi daini kisiwa chenu na mukiandama andameni Pemba. Watu Wa Unguja tumechoka na fujo. Pakinukuna tunachanganywa sote. Kwahiyo tafadhali mukiandamana nendi Pemba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.