Recent content by Orlando_

  1. Orlando_

    Yanga yaachana na Okrah baada ya kuishia kufunga goli 1

    JF hata kama una stress zinaisha hii inachekesha kwa kweli..
  2. Orlando_

    Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

    Ila hizi timu zetu pendwa bana kipindi cha usajili huwa nachekaga sana,watu wanakuja na majina yakutishatisha tu mara Enrinco kizumba(maradona mtupu),Jean Mokoena,philiph Kelechi Obinah(changanya Neymar wawili) vurugu tupu,ligi ianze sasa utaskia huyu tumepigwa. Sawa usajili bahati nasibu wadau...
  3. Orlando_

    Mo Dewji hana mpango wa kuijenga upya Simba bali anaibomoa aichache kama alivyoikuta

    Mkuu umeandika Pumba iliyochanganyika na mashudu kubali kataa..
  4. Orlando_

    Comeback ya Manara, kina Ali Kamwe wapo salama au yatajirudia ya Nugaz?

    Masikini Ally Kamwe,sasa itakuaje!!
  5. Orlando_

    Unafanyaje kuishi maisha ya kigeto geto bila kupika?

    Mkuu nakushauri tu jitahidi uwe unapika hata kama ni kujipikilisha baadae utazoe utakuwa mkali wa jiko,tabia ya kula kwenye migahawa siyo afya sana wengine usafi hawazingatii utakuja kuumwa yaliwahi kunikuta. Nunua mahitaji kwa jumla huepusha pia gharama inaonekana hata usafi unaitaga wale...
  6. Orlando_

    Hii safisha-safisha inayoendelea ndani ya Simba inapendeza sana

    Uliona mbali sana na kweli yametokea kwa 85%!
  7. Orlando_

    Polisi mpaka sasa wananizungusha naombeni msaada

    Ila raia Mungu anawaona siyo kwa comments hizi!
  8. Orlando_

    Yanga wasijidanganye kwa Dube, watafute kinara wa Ushambuliaji

    Una hoja ila subiri wanakuja kukushambulia, jipange!!
  9. Orlando_

    Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

    Unachekesha kweli watu jumamosi tarehe 22 waliwekewa mzigo...
  10. Orlando_

    Ndo nakuambia sasa kama hujui. Asilimia 95 ya wanaume wanapenda mwanamke huyu

    Umesema kweli lakini nyie huwa tunawatamani tu huwa tunawapelekea moto tunalala mbele hatuweki kambi,ukiona amekuganda basi huyo hakusomea Cuba.
  11. Orlando_

    Yanga kama wanataka kutengeneza Tanzania galacticals +?

    Chama kila mwaka anasajiliwa Yanga alafu anachezea Simba mambo mengine yanachekesha sana!
  12. Orlando_

    Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

    Huu wimbo una nini cha ajabu ngoja niusikilize, nitarudi.
Back
Top Bottom