You could sense that from his facial expression yesterday during the inaugural ceremony. I guess there was a serious conselling prior the ceremony, otherwise🤔🤔🤔
Mnaanzaje kuacha kutangaza habari za makamanda sasa? Jaribuni muone kama hatujaanza kutekeleza sheria inayokataza kuchapisha magazeti binafsi isipokuwa ya Chama na Serikali tu. Na hatutakuwa na mzaha katika hilo😱😈
Hili nalo neno, hebu Kigwangwala tusanulie na ya kina wazee wa vijisenti, waliobeba minoti kwenye sandarusi, walioficha minoti uswisi na mafisadi wengine ndani ya system tufanye maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.