JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
..nampongeza Mama Ana Mghwira kwa kuwa mkweli.
..hakukuwa na sababu ya Polisi kupiga risasi waandamanaji ambao hawakuwa na silaha za moto.
..Polisi walitumia DEADLY FORCE.
..Nguvu hiyo ni halali ikiwa njia zote za kudhibiti waandamanaji zimeshindikana, na KUUA ni uamuzi wa mwisho ili kuepuka madhara zaidi yasitokee.
..hakukuwa na sababu ya Polisi kupiga risasi waandamanaji ambao hawakuwa na silaha za moto.
..Polisi walitumia DEADLY FORCE.
..Nguvu hiyo ni halali ikiwa njia zote za kudhibiti waandamanaji zimeshindikana, na KUUA ni uamuzi wa mwisho ili kuepuka madhara zaidi yasitokee.