Nawapongeza sana NACTVET walichelewaa saana na ilitakiwa wapandishe zaidi vigezo ili mtu asome afya ambayo ni maisha ya watu inabidii awe na angalau na C tano yaani PHY C,CHEM C, B/MATHS C,Bio C na Eng C chinii ya hapo wakasomee fanii zinginee mbona zipo nyingii tuu
Kiukwelii tangia nizaliwee sijawahii kuhisi maumivu kama siku ambayo nilifanya interview mbili kwa siku moja pale Dodoma kipindi hicho mambo ya kufanyia online hayajaanza usiku saa mbili nipo zangu lodge nakutana na NOT SELECTED zote moja nimepata 49 na wamechukua hadi 50 na hapo nimetokea...
Hawaitii tuu halafu pia VETA wao wanaomba watu kutoka sekretarieti ya ajira ambao ndiyo wanatangaza nafasi za kazi kupitia ajira portal,wanaita watu kwenye usaili na ukiendaa kule utumishii wao wanaangalia uwezo wako wanaamini kama umefanya kazi huko ya kujitolea muda mrefu basi utakuwa na...
Polee sana ndugu yangu najua namna unavyojisikia lakinii inawezekana hujui namna ajira zinavyopatikana,ajira zote sasa hivi zinapatikana kwa ushindani kupitia sekretarieti ya ajira kwa hiyo unailaumu VETA bure wao hawahusiki na usaili wala hawana uwezo wa kukupendelea wewe.
labda pia nikuulze...
Wamesema wataanza kutoa hivii karibu
Mkuu hoja zako nazielewaa coz hata mimi nilipitia hayo unayopitia saivii lakinii lazimaa uelewe mambo ya serikalii hayaendii hivyo kama unavyotaka yawe japo sheria wanatungaa wenyewee mfano sheria inasema ukishapata kazi inabidii ulipwe pesa ya kujikimu...
Nakushaurii kuwa mpolee jiandae na usailii huku ukifanya mambo menginee,,uharaka wa kuita kwenye usaili inategemea Taasisi husika inayohitaji wafanyakazi kama ina uharaka na budget yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.