Uko sahihi sana, ata ggwajima katoa siku mpaka zimeisha hakuna kilichojiri, dharau ziko palepale, utekaji uko palepale, dawa yake tungejaa kwa road viburi vingewaisha, aya leo tarehe28 kwa dharau kubwa nasikia watakua tanganyika packers' wakitukebei.
Kifupi sisi c chochote kwao, tutulie kitulambe
Muwashukur walipa kodi wa bara, mmekua kama ndege wao wanakula bure tu au kwa kujipitisha kt majalala ya huku bara na kuchukua kilichobaki.
Haturuhusiwi kuwa na Ardhi zbar ila nyie mpaka ifakara mna mashamba kabisq na haswa mkiwa huru kufanya shughuli zenu, kigambon karibia itaitwa pemba.
Deni...
Nadhan wafanyakazi hawa wanajipeleka wenyewe ili wanyooshwe.
Kama washabaini hayo mapungufu, huu ujinga wanafanyiwa kwa utashi wao,
nadhan ni muhimu uelewa wa wafanyakazi ukasaidia na kama ausaidii basi wakafie mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.