Iyo c3 naweza nikaipata haina shida ila waswas wangu upo kwenye abiria na kama kwel kuna maslah maana kuna mtu anataka kunipa gari ila yeye hesabu ni 20000 kwa siku je na mim ntabak na kitu nikikomaa mkuu em nielekeze kwa experince yako uliyovyofanya kaz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.