Recent content by Optimist_Tz

  1. Optimist_Tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

    Naona huko kusemekana kumemgharimu jamaa hadi amekatwa kwenye kura ya maoni ya ubunge ? Au wananchi wamemkataa kweli ? Jamaa ukute ameonekana kiwa ni threat ndio maana amewekwa kando ?!
  2. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Wanasema ukitaka nikwambie wewe ni nani nioneshe rafiki yako au zako nitakwambia.
  3. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Awareness miongoni mwa Watu ni mojawapo
  4. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Muda wale Mbona ulishapita alisha staafu ?!
  5. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Kwa bajeti gani ? Je ya Serikali ? Au ? Kama nani ?
  6. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Muda ni wake kivipi wakati alishastaafu ?
  7. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ningekuwa CCM hata mniue siwezi kufanya REFORMS kamwe

    Kumbuka utakuwa unaongoza Watu na sio wanyama Kwamba unaweza kuwapelelesha utakavyo kwa kuwa hawana utashi, Binadamu uvumilivu wale ni wa kitambo kidogo pamoja na ujinga wake unaozani. Huwezi jua maamuzi atachukua na wakati gani. Matharani ; nyumbani kwako unajiweza kifedha nakwambia ishi na...
  8. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ningekuwa CCM hata mniue siwezi kufanya REFORMS kamwe

    Kwamba unachagua kubaki kwenye dhuruma na Udharimu zidi ya haki za watu ??!
  9. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa TZS47.777bn kwaajili ya huduma za afya

    Serikali au Rais ?
  10. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Inategemea na misimamo ya baba yao ilivyokuwa kabla wakati wa uhai wake, kuna wanaume lazima watoto mheshimu michepuko yake. Anawaambia kabisa Huyu ni mama yenu kama yule mzazi.
  11. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    kama ni sheria inabidi ipitiwe upya haifai. Kwa hiyo na wake za Rais au ??
  12. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Kabisa , kama mke wa Buhari ex president wa Nigeria ambae walishaachana na Buhari, Eti baada ya mwenzie kufa akaanza kujitokeza kutoa taarifa kadhaa wakati hajawahi kwenda kumuona wakati alipolazwa hospital, Ndio familia ikaweza wazi kuwa sio mke wa alihemu na Kwamba walishaachana kitambo tu na...
  13. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

    Kusubiri hadi mambo yaharibike naona si busara. Muhimu ni kuwa honest Kwamba maza alikuwa anamalizia kipindi cha JPM sasa kwa kuwa kimeisha na yeye Pengine anaona anataka kugombea Basi utaratibu ufuate na wengine wanaotaka washiriki kwa haki na uwazi kama ambavyo imekuwa ikifanyika na sio...
  14. Optimist_Tz

    JamiiForums Tanzania Kuna mpasuko unafumwa kisayansi ndani ya CCM na wamefanikiwa kwa 100%. Rais amechelewa kusoma mchezo

    Lakini haipaswi kusubiri mambo yaharibike sana ndipo waweke mambo Sawa kwa mujibu wa utaratibu wa haki wa kutia nafasi kwa ambao wako interested kuchukua forms nao wajinadi. Ni vema kuwa proactive kuliko reactive
Back
Top Bottom