aisee hawa waumini wake nao sasa wameshakua zaidi ya bongo muvi,yani hadi matarumbeta nasikia kabisaaa kama vile katoka.ila anapoishi naona kuna ujenzi umeanza wiki jana.huyu mama nahisi atatoka tu
Duh huyu mama ni jirani yangu...ila muda huu nasikia shangweee benders ya zumaridi sasa inapepeaaa sasa ina Pepeaaaaa.kaachiliwa??tutakoma majirani sasa maake tulikua tumeanza kuzoea kulala bila makelele ya spika zake
Mkuu huyo farasi wa kijivu mbona 2011 aliachiliwa misri wakati wa Arab uprising.nenda YouTube andika PALE HORSE released.utamuona huyo farasi na mpanda farasi .farasi wa kijivu alinaswa na camera zooooote.kajionee ujiongezee maarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.