Hizo fedha za MCC ndizo zilizofanya ndugu zenu waishio vijijini kupata umeme. Kama Magufuli ana dhamila ya dhati kusaidia Taifa hili hana budi kutatua mgogoro wa zanzibar haraka sana. Nashangaa kuona watu wanamshabikia Magufuli kama timu ya mpira. Sasa naanza kuamini tafiti zilizoonesha kuwa...
I agree with you, I really think it wont work. You cant win F1 race by just having good accerelation. You must have good top speed as well. I hope I'm wrong but I really think cutting down spending can shrink the economy
Hakika ccm ni laana, wana ccm wote akili zao zinafana, hawana reasoning hata kidogo. Jana nilimuona jamaa mmoja wa ccm channel ten alikuwa akiongea hovyo kabisa, na ni mmoja ya wana ccm waliochukua fomu ya kugombea urais. He was absolutely insane. Sijui kwa nini ukiwa ccm akili inakuwa mgando...
Kweli kabisa mkuu. Star TV,Chten,louds tv na TBC ni aibu kubwa sana kwa taifa letu. badala wao waonyeshe mfano wa kuwa role model wao wanakuwa malimbukeni. Its a big shame. Hawalitendei haki taifa na pia hawaitendei haki taaluma yao. Kwa keli tuna safari ndefu sana
safi sana ndugu yangu kwa kuandika facts. Tatizo nchi hii kila kitu ni siasa, wanataka kumfanyia siasa hata Mungu. Ni wazi kuwa amani hupatikana pale tu haki inapotendeka, sasa kwa nini watanzania wakiwemo watumishi wa Mungu hawalioni hili? Haiitaji elimu yeyote kujua kuwa tunda la amani ni haki...
Ki ukweli nimesikitika sana. Hivi nchi hii ina laana gani? Kwa nini watu hawajielewi? Tatizo ni nini? Pesa kidogo tuu unaamua kusaliti ukweli ambao unaweza kunufaisha vizazi vingi vijavyo. This is as bad as it gets.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.