Recent content by only connect

  1. O

    Tanzania yetu imejaa watu wanafiki, wazandiki na waongo

    For the firt time tangu niwe member humt jf nimeanza kuamini kuwa humu kuna great thinkers. What u have said is absolutely right
  2. O

    Mbowe: Kukosa pesa za MCC Inachafua jina la nchi ktk medani za kimataifa

    Hizo fedha za MCC ndizo zilizofanya ndugu zenu waishio vijijini kupata umeme. Kama Magufuli ana dhamila ya dhati kusaidia Taifa hili hana budi kutatua mgogoro wa zanzibar haraka sana. Nashangaa kuona watu wanamshabikia Magufuli kama timu ya mpira. Sasa naanza kuamini tafiti zilizoonesha kuwa...
  3. O

    Magufuli akifanya kama Mwanawasa kuna madhara gani?

    Wewe ulitegemea JK akiri kuwa alitumia madaraka yake vibaya? Very stupid
  4. O

    Kumbukumbu: Haya ni baadhi ya mambo mazuri aliyoyafanya Jakaya Kikwete

    Unaweza kuwa maarufu kwa kutenda maovu idiot!
  5. O

    Magufuli angekuwa USA angekuwa Republican

    I agree with you, I really think it wont work. You cant win F1 race by just having good accerelation. You must have good top speed as well. I hope I'm wrong but I really think cutting down spending can shrink the economy
  6. O

    ICJ haideal na kesi ya kuibiwa kura

    Hakika ccm ni laana, wana ccm wote akili zao zinafana, hawana reasoning hata kidogo. Jana nilimuona jamaa mmoja wa ccm channel ten alikuwa akiongea hovyo kabisa, na ni mmoja ya wana ccm waliochukua fomu ya kugombea urais. He was absolutely insane. Sijui kwa nini ukiwa ccm akili inakuwa mgando...
  7. O

    Ushauri kwa Maalim Seifu na CUF Zanzibari kuweni makini sana!

    Umeeleza vizuri, lakini bado hujatoa ushauri kuwa Maalim Seif afanye nini?
  8. O

    Wake za Magufuli na Lowassa

    Magufuli hazunguki na mkewe kwa kuwa ana wake wengi
  9. O

    Hizi TV zimegeuka kuwa mabango ya kampeni za mgombea mmoja!

    Kweli kabisa mkuu. Star TV,Chten,louds tv na TBC ni aibu kubwa sana kwa taifa letu. badala wao waonyeshe mfano wa kuwa role model wao wanakuwa malimbukeni. Its a big shame. Hawalitendei haki taifa na pia hawaitendei haki taaluma yao. Kwa keli tuna safari ndefu sana
  10. O

    Unafiki matamasha ya kuombea amani nchi

    safi sana ndugu yangu kwa kuandika facts. Tatizo nchi hii kila kitu ni siasa, wanataka kumfanyia siasa hata Mungu. Ni wazi kuwa amani hupatikana pale tu haki inapotendeka, sasa kwa nini watanzania wakiwemo watumishi wa Mungu hawalioni hili? Haiitaji elimu yeyote kujua kuwa tunda la amani ni haki...
  11. O

    Kama chama kina chukua uwamuzi gani

    it's a shame, utamtofautishaje huyu jamaa na mvuta bangi?
  12. O

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Ki ukweli nimesikitika sana. Hivi nchi hii ina laana gani? Kwa nini watu hawajielewi? Tatizo ni nini? Pesa kidogo tuu unaamua kusaliti ukweli ambao unaweza kunufaisha vizazi vingi vijavyo. This is as bad as it gets.
  13. O

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Swali lako la multiple choice lingekuwa na option ya 4. NONE OF THEM
Back
Top Bottom