Huo mdomo wa Wassira nadhani unatakiwa uwekewe pazia maana haelewi anachoongea. Siyo makosa yake , naona ni kupoteza kumbukumbu sababu ya uzee. Mabingwa wa ahirisho ni mawakili wa serikali ambao wanashupalia kesi isiyo na evidence. Anyway acha tuone
kwa uvivu wa watanzania hakuna anayeweza kusoma isipokuwa wachache wanaoshughulisha akili zao. Halafu wakishashughulisha kichwa wanakuja wavivu kuwaweka ndani kisingizio eti uchochezi. Kifupi the big brains wanaoonekana kuwa ni wasaliti na brains ndogo hutumika kutawala sababu ya pesa na nguvu...
Unamuota nani ndugu yako? Huu ushauri mpe mkeo au mumeo huyo mnayeshirikiana kuleta upuuzi kama huu. Achaneneni na Chadema IFANYE shughuli za siasa. Chokochoko hizi pelekeni kwenye familia zenu . Watu mnawashwa mmakalio tu eti Chadema!!! khaaaa!!
Bora wametusanulia jinsi shosti wao anavyowatumia kuhujumu CHAMA. Ila nashindwa kuelewa kuwa wapo baadhi kazij Yao ni dili kukisambaratisha CHAMA tu na siyo eti ni wapinzani. Chadema Iko imara Hawa wanajitekenya tu kwani wanataka nani awasikilize. Wakati wanarubuniwa kutoa taarifa za kinafiki...
Kuna mtu aliwahi kusema ni vyema kabla ya kupewa madaraka makubwa namna hii ni Bora kupima akili. Nyumba za wageni zinatusaidia tupate pa kujihifadhi pale ambapo tunasafiri na hatuna pa kulala. Sasa kama mtu Hana kitambulisho Cha Nida ni kuwa asipage huduma! Nimeamini tuna mawaziri mizigo nchi hii
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa Chadema. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.
Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza...
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa CHADEMA. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.
Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza...
Hapo wasidanganyike na unio wake. Kifupi alikuja kusoma nyuso zao kama bado wanamchekea chekea au wako serious all time na kutompa NAFASI aongee maupuuzi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.