Recent content by onjwayo

  1. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Nyahoza ofisi za Chadema hauhusiani na Barua alizokiandikia chama hicho

    Hapo wasidanganyike na unio wake. Kifupi alikuja kusoma nyuso zao kama bado wanamchekea chekea au wako serious all time na kutompa NAFASI aongee maupuuzi yake
  2. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Sasa nakubaliana na waleeeee
  3. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    REJEA ILE KAULIMBIU YA JAYATI "NIKUTEUE WEWE, NIKULIPE MSHAHARA" NANI HATAKI KUSHIBA HALAFU UJUE TUNAKULA ILI TUISHI
  4. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    LABDA WEWE NI MKENYA KUNA KAUKWELI FULANI HIVI HUKO CCM WANAIBA HATA MAVI YA BATA WANAWEZA PITA NAYO WAKIMKOSA BATA. WATU WAKO CHAMANI KWA MASLAHI
  5. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Nchi moja Tanzania, bei ya mafuta tofauti tofauti

    Ndio ujue vizuri maana ya Tanganyika na Tanzania.....polisi wangetuacha kidogo tujianike tuone upuuzi tunaendelea nao
  6. onjwayo

    JamiiForums Tanzania KERO Huku Mbeya tumeanza kuonja joto, Daladala za Mjini zimegoma, tunasota

    WALE CCM WALIOPIGA KIRA YA NDIO NADHANI SASA HIVI WAKO KAMA PEPONI WAKIFAODI NEEMA YA NCHI
  7. onjwayo

    JamiiForums Tanzania The matter concerning Lissu will be dealt with by the court accordingly

    Lissu jitu kubwa dude kiboko ya CCM ya kina Wassira. Tu kwa harakaharaka Wassira na kampani yake wanaweza kumfunga Lissu. Akifungwa labda siyo mahakama zetu za kooooootiiiiii!
  8. onjwayo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Matokeo ya Kesi ya Lissu na Tume ya Chande YANAJULIKANA, anayetegemea tofauti labda haijui Tanzania

    kwahiyo unaelewa waliowaua pia mbona hakuna hata mtoto wa mwanaccm alijeruhiwa Wala kufa ccm woooteee wako salama.
  9. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Nalazimika kuwapongeza Polisi kwa kutozuia maandamano ya "Wakatoliki", basi wafute kesi ya Mwandambo

    kumbe ndio maana macomedians wote wako CCM ? Hawa kwa hii hatua wakikemewa watajisifu, next time wapeni kitimoto nadhani hawatarudia tena huu ushenzi
  10. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Hakuwezi kufanya mageuzi ya polisi maana ukatili wao polisi ndio unaowawekaCCM na watu wao madarakani

    katumwa na mwenye nchi . Polisi ya nchi hii hawawezi kutenda kwa usminifu kazi yao
  11. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Balozi Mahmoud Thabit Kombo anafanya ziara Rasmi ya kikazi jijini Washington, DC

    mmmmmm acha nichekeeeee
  12. onjwayo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya marufuku ya maandamano ya D9 tutarajie nini? Nani wako interested kukaidi amri hiyo? Vipi mbinu?

    miguu na kichwa post viko wapi wabamura. Naona tu maandishi mareeeefuuuúu. Polisi wa nchi hii wanaruhusu tu maandamano ya kama Kuna ubwabwa siku Yanga wanacheza maana it's for free
  13. onjwayo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ninacho kiona ni CCM kuamini wao ndio wamiliki wa Tanzania

    ujumbe mzuri....Mungu bado ataendelea kustawisha nchi
  14. onjwayo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Biti la RC Chalamila kwa Fr. Kitima ni kutekeleza maagizo ya kumuua kushirikiana na kikosi toka Mwanza?

    unaweza kumtazama mtu sura na ukajua kuwa hamnazo....ni zero brain kabisa.
Back
Top Bottom