Recent content by onjwayo

  1. onjwayo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kila siku Lissu anaweka mapingamizi, ndio maana inachukua muda mrefu

    Huo mdomo wa Wassira nadhani unatakiwa uwekewe pazia maana haelewi anachoongea. Siyo makosa yake , naona ni kupoteza kumbukumbu sababu ya uzee. Mabingwa wa ahirisho ni mawakili wa serikali ambao wanashupalia kesi isiyo na evidence. Anyway acha tuone
  2. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Hii Hapa Rasimu Kamili ya KATIBA MPYA yenye Sura 14 na Ibara 321. Ipo Katibampya.com. Karibuni Tuijadili Wanajamvi

    kwa uvivu wa watanzania hakuna anayeweza kusoma isipokuwa wachache wanaoshughulisha akili zao. Halafu wakishashughulisha kichwa wanakuja wavivu kuwaweka ndani kisingizio eti uchochezi. Kifupi the big brains wanaoonekana kuwa ni wasaliti na brains ndogo hutumika kutawala sababu ya pesa na nguvu...
  3. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama Vya Siasa Aingilie Kati na Kumsimamisha Uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea

    Unamuota nani ndugu yako? Huu ushauri mpe mkeo au mumeo huyo mnayeshirikiana kuleta upuuzi kama huu. Achaneneni na Chadema IFANYE shughuli za siasa. Chokochoko hizi pelekeni kwenye familia zenu . Watu mnawashwa mmakalio tu eti Chadema!!! khaaaa!!
  4. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Viongozi watatu wa CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya siasa

    Bora wametusanulia jinsi shosti wao anavyowatumia kuhujumu CHAMA. Ila nashindwa kuelewa kuwa wapo baadhi kazij Yao ni dili kukisambaratisha CHAMA tu na siyo eti ni wapinzani. Chadema Iko imara Hawa wanajitekenya tu kwani wanataka nani awasikilize. Wakati wanarubuniwa kutoa taarifa za kinafiki...
  5. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

    Kuna mtu aliwahi kusema ni vyema kabla ya kupewa madaraka makubwa namna hii ni Bora kupima akili. Nyumba za wageni zinatusaidia tupate pa kujihifadhi pale ambapo tunasafiri na hatuna pa kulala. Sasa kama mtu Hana kitambulisho Cha Nida ni kuwa asipage huduma! Nimeamini tuna mawaziri mizigo nchi hii
  6. onjwayo

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wataifilisi hii Serikali

    mbona Mimi chizi tayari makosa ya kiufundi hayo
  7. onjwayo

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wataifilisi hii Serikali

    Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa Chadema. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini. Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza...
  8. onjwayo

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wataifilisi hii Serikali

    Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa CHADEMA. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini. Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza...
  9. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Tishio la Maandamano 😀 wasio vaa uniform no wengi ILA hakuna kitu wanapata maana hizo ni propaganda za Green Gud wa kihongosi.

    Kuleni fedha Ile inaitwa tumgidie bwege ccm kaja mwenyewe kuliwa
  10. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Nyahoza ofisi za Chadema hauhusiani na Barua alizokiandikia chama hicho

    Hapo wasidanganyike na unio wake. Kifupi alikuja kusoma nyuso zao kama bado wanamchekea chekea au wako serious all time na kutompa NAFASI aongee maupuuzi yake
  11. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Sasa nakubaliana na waleeeee
  12. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    REJEA ILE KAULIMBIU YA JAYATI "NIKUTEUE WEWE, NIKULIPE MSHAHARA" NANI HATAKI KUSHIBA HALAFU UJUE TUNAKULA ILI TUISHI
  13. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    LABDA WEWE NI MKENYA KUNA KAUKWELI FULANI HIVI HUKO CCM WANAIBA HATA MAVI YA BATA WANAWEZA PITA NAYO WAKIMKOSA BATA. WATU WAKO CHAMANI KWA MASLAHI
  14. onjwayo

    JamiiForums Tanzania Nchi moja Tanzania, bei ya mafuta tofauti tofauti

    Ndio ujue vizuri maana ya Tanganyika na Tanzania.....polisi wangetuacha kidogo tujianike tuone upuuzi tunaendelea nao
  15. onjwayo

    JamiiForums Tanzania KERO Huku Mbeya tumeanza kuonja joto, Daladala za Mjini zimegoma, tunasota

    WALE CCM WALIOPIGA KIRA YA NDIO NADHANI SASA HIVI WAKO KAMA PEPONI WAKIFAODI NEEMA YA NCHI
Back
Top Bottom