Mambo engine tunajitakia wenyewe kwa kushadidia. tamaduni za Magharibi na kuacha za kwetu Waafrika.
Mfano tumekuwa tukitumia nguvu Sana kupinga adhabu ya fimbo mashuleni na majumbani,matokeo yake tunakuja kutumia risasi na magereza kuwarekebisha watu wakishakuwa wakubwa.
Tumekuwa pia tunatumia...
Kwa maoni yangu,kupatikama katiba mpya iliyo bora ndani ya mufa tulip nap ikufikia. Chaguzi zijazo sio rahisi.
Nashauri yafanyike tu marekebisho yanayolenga kutatua matatizo makubwa yanayozalisha haya madai ya haraka ya kuipata katiba kabla ya uchaguzi ili kuepusha yaliyojitokeza katika chaguzi...
Tatizo Taifa kwa sasa lina watu wengi wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya Taifa.
Watu wameweka pembeni taaluma zao,waneweka pembeni imani zao za kiroho na wameweka pembeni ubinadamu wao na kutanguliza mbele maslahi yao binafsi.
Ni bahati mbaya pia kuwa mfumo wa utawala umeweka...
Napendekeza CAG afanye pia ukaguzi kwenye rasilimali watu,sio tu kuishia kukagua rasilimali pesa pekee.
Naamini huko kwenye rasilimali watu kuna Madudu mengi na ya hatari kuliko hata tunayoyashuhudia kwenye hizi ripoti za ukaguzi kwa sasa.
Kama lengo lenu lilikuwa ni kugombea na kupata ulaji tafuteni pa kwenda.
Ila kama lengo lenu lilikuwa kuikomboa nchi kama viongozi wenu wanavyodai. Basi komaeni hukohuko tu.
Iko siku...
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa sababu kubwa iliyopeleea DRC kufika hapo walipo ni mgawanyiko wa wao kwa wao ndani ya nchi ukichagizwa na mataifa ya nje.
Kiukweli nachelea kusema hata sisi tusipokuwa waangalifu tunaelekea huko.
Mgawanyiko unaofukuta kati ya wanaotaka mabadikiko na wale...
Ila Mimi najiuliza,kwani viongozi hawaoni udhaifu wa wachezaji wakamshauri vizuri kocha?
Maana kwa msimu huu timu haiko na ule uwezo iliyokuwa nao msimu uliopia,hivyo ni mhimu kufanya tathmini ya kila mchezsji upya na kuona kama bado ana mchango wowote wa maana kwenye timu .Kama kocha atsendelea...
Wachezaji kama Kibabage,Msonda na Dube kiukweli sio level ya mashindano haya.
Tutaongea mengi lakini ukweli ndo huo.
Na na kama kocha atsendelea kuwatumia, basi sidhani kama hata Christmas ataila akiwa Kocha wa Yanga.
Naomba mnistue watakapoanza kujadili mambo mawili tu.
1.Kuondoa kinga za kutohoji matokeo ya uchaguzi wa Raisi mahakanani
2.Adhabu atakayopewa mtu yeyote anayevuruga uchaguzi. Kwa namna yoyote kama kuiba kura,udanganyifu n.k
Kwa Sasa bora nifuatilie habari za AFCON tu.
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.