Tatizo Taifa kwa sasa lina watu wengi wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya Taifa.
Watu wameweka pembeni taaluma zao,waneweka pembeni imani zao za kiroho na wameweka pembeni ubinadamu wao na kutanguliza mbele maslahi yao binafsi.
Ni bahati mbaya pia kuwa mfumo wa utawala umeweka...
Napendekeza CAG afanye pia ukaguzi kwenye rasilimali watu,sio tu kuishia kukagua rasilimali pesa pekee.
Naamini huko kwenye rasilimali watu kuna Madudu mengi na ya hatari kuliko hata tunayoyashuhudia kwenye hizi ripoti za ukaguzi kwa sasa.
Kama lengo lenu lilikuwa ni kugombea na kupata ulaji tafuteni pa kwenda.
Ila kama lengo lenu lilikuwa kuikomboa nchi kama viongozi wenu wanavyodai. Basi komaeni hukohuko tu.
Iko siku...
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa sababu kubwa iliyopeleea DRC kufika hapo walipo ni mgawanyiko wa wao kwa wao ndani ya nchi ukichagizwa na mataifa ya nje.
Kiukweli nachelea kusema hata sisi tusipokuwa waangalifu tunaelekea huko.
Mgawanyiko unaofukuta kati ya wanaotaka mabadikiko na wale...
Ila Mimi najiuliza,kwani viongozi hawaoni udhaifu wa wachezaji wakamshauri vizuri kocha?
Maana kwa msimu huu timu haiko na ule uwezo iliyokuwa nao msimu uliopia,hivyo ni mhimu kufanya tathmini ya kila mchezsji upya na kuona kama bado ana mchango wowote wa maana kwenye timu .Kama kocha atsendelea...
Wachezaji kama Kibabage,Msonda na Dube kiukweli sio level ya mashindano haya.
Tutaongea mengi lakini ukweli ndo huo.
Na na kama kocha atsendelea kuwatumia, basi sidhani kama hata Christmas ataila akiwa Kocha wa Yanga.
Naomba mnistue watakapoanza kujadili mambo mawili tu.
1.Kuondoa kinga za kutohoji matokeo ya uchaguzi wa Raisi mahakanani
2.Adhabu atakayopewa mtu yeyote anayevuruga uchaguzi. Kwa namna yoyote kama kuiba kura,udanganyifu n.k
Kwa Sasa bora nifuatilie habari za AFCON tu.
.
Kwa muda sasa tumekuwa na kasumba ya kujiona kila mmoja wetu ni wa maana kuliko mwingine.
Kasumba hii imepelekea wengine kujiita Waheshimiwa.
Wengine wasomi,Maofisa usafirishaji n.k.
Kwa kweli mimi binafsi sipendezwi na Kasumba hii kwani haitujengei umoja kama Taifa bali unatugawa katika...
Ili kuleta maendeleo ya kweli,napendekeza yafuatayo:-
1.Tubadilishe mfumo wa ajira ili watu wengi wavutiwe na ajira za kwenye sekta za kilimo,afya na elimu.
Ifike mahala mtu aone kuwa mwanasiasa hailipi kama kuwa mkulima au mwalimu tofauti na sasa ambapo watu,pamoja na taaluma walizonazo...
Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Mpango wa maendeleo uliosomwa Bungeni katika kikao kinachoendelea hivi sasa huko Dodoma.
Pamoja na mambo mengi mazuri ambayo mpango umekuja nayo, ningeshauri swala la ukosefu wa ajira liwekewe mkakati maalumu wa kulitatua.
Itakumbukwa kuwa Serikali imewekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.