Recent content by ong'wafaza

  1. O

    Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

    Sasa hivi tumeambiea March. Tuwe na subira na matumaini kama ambavyo tunasubiri Mtume kurudi duniani.
  2. O

    CCM kukataa mabadiliko ya miswada 3 inayopigiwa kelele na wote ni wazi wana nia ovu. Watanzania tusikubali

    Naomba mnistue watakapoanza kujadili mambo mawili tu. 1.Kuondoa kinga za kutohoji matokeo ya uchaguzi wa Raisi mahakanani 2.Adhabu atakayopewa mtu yeyote anayevuruga uchaguzi. Kwa namna yoyote kama kuiba kura,udanganyifu n.k Kwa Sasa bora nifuatilie habari za AFCON tu. .
  3. O

    Kasumba hii tutaiacha lini?

    Kwa muda sasa tumekuwa na kasumba ya kujiona kila mmoja wetu ni wa maana kuliko mwingine. Kasumba hii imepelekea wengine kujiita Waheshimiwa. Wengine wasomi,Maofisa usafirishaji n.k. Kwa kweli mimi binafsi sipendezwi na Kasumba hii kwani haitujengei umoja kama Taifa bali unatugawa katika...
  4. O

    Ili tuendelee, tunatakiwa kwenda hivi

    Ili kuleta maendeleo ya kweli,napendekeza yafuatayo:- 1.Tubadilishe mfumo wa ajira ili watu wengi wavutiwe na ajira za kwenye sekta za kilimo,afya na elimu. Ifike mahala mtu aone kuwa mwanasiasa hailipi kama kuwa mkulima au mwalimu tofauti na sasa ambapo watu,pamoja na taaluma walizonazo...
  5. O

    Mpango wa maendeleo ya nchi ni lazima uzingatie mkakati wa kutatua suala la ukosefu wa ajira

    Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Mpango wa maendeleo uliosomwa Bungeni katika kikao kinachoendelea hivi sasa huko Dodoma. Pamoja na mambo mengi mazuri ambayo mpango umekuja nayo, ningeshauri swala la ukosefu wa ajira liwekewe mkakati maalumu wa kulitatua. Itakumbukwa kuwa Serikali imewekeza...
  6. O

    Serikali ya CCM inaogopa nini kubadili katiba ya nchi? Mbona inabadili ya CCM!

    Hayo mahela ya kufundishia elimu ya Katina Bora yatumike kujenga japo ka barabara ka lami wilayani kwetu na kutupatia ka umeme na tumaji yes Bomba pale kijijini kwetu. Kama chenji ikibaki ndo watafune kwa utefu wa ma kamba yao.
  7. O

    Kuna Evidence kwanini Rais Samia kasema wananchi hawajui katiba NAMI naunga mkono👇

    Ni kweli watanzania walo wengi hawaijui katiba iliyopo nikiwemo mimi mwenyewe. Lakini ninafahamu kuwa kila jambo lina faida na hasara pia. Sitaki kuongelea sana hasara inayotokana na huu ujinga (kutojua katiba) wetu. Faida moja kubwa ya huu ujinga ni Amani na Utulivyo tulionao watanzania...
  8. O

    Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

    Sipati picha. Hiiyo elimu ya Katina itatolewa kwa utaratibu gani? Muhtasari wake utakuwaje? Walimu Gani? Madarasa yepi? Nanusa harufu ya upigaji wa Yale mabilioni bila matokeo chanya.
  9. O

    Ajali za barabarani nyingi kusababishwa na waendesha bodaboda, nini kifanyike kudhibiti na kuzipunguza?

    Nimkuwa nikifuatilia kwa muda mrefu takwimu zinazotolewa na polisi kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na janga la Ajali za barabarani zikionyesha kuwa bodaboda ndo chanzo kikuu Cha Ajali hizo hasa mijini. Pamoja na ukweli huo kudhihirika,Bado mamlaka zinazohusika hazichukui hatua...
  10. O

    CCM yasema haitorudi nyuma uwekezaji wa bandari

    Titasikia mengi kuhusiana na tamthilia hii ila mwisho wa siku Stalingi hatauwawa
  11. O

    Mwanasheria afungua kesi kupinga Jaji Mkuu kubaki kazini baada ya muda wa kustaafu kupita

    Hivi hii haitakuwa kama kesi ya nyani kweli? Ngoja tusubiri tuone.
  12. O

    Kama mambo yenyewe ndio haya dada wa kazi wanahaki ya kuwatesa kina Junior

    Baba asingefanya hivyo huyo mdada angeshajiondokea zake. Ukiona wadada wa kazi hawakai muda mrefu ujue aidha mama ana wivu au baba Hana time nao.
  13. O

    Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar

    Mimi bado sijaelewa. Makubaliano haya ni kati ya Nchi na Nchi. DP World ni Nchi Gani?
Back
Top Bottom