Recent content by ong'wafaza

  1. O

    JamiiForums Tanzania Tunajenga kizazi gani?

    Mambo engine tunajitakia wenyewe kwa kushadidia. tamaduni za Magharibi na kuacha za kwetu Waafrika. Mfano tumekuwa tukitumia nguvu Sana kupinga adhabu ya fimbo mashuleni na majumbani,matokeo yake tunakuja kutumia risasi na magereza kuwarekebisha watu wakishakuwa wakubwa. Tumekuwa pia tunatumia...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la timeline ya Katiba Mpya 2026-30

    Kwa maoni yangu,kupatikama katiba mpya iliyo bora ndani ya mufa tulip nap ikufikia. Chaguzi zijazo sio rahisi. Nashauri yafanyike tu marekebisho yanayolenga kutatua matatizo makubwa yanayozalisha haya madai ya haraka ya kuipata katiba kabla ya uchaguzi ili kuepusha yaliyojitokeza katika chaguzi...
  3. O

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Rais Samia akakemea kufungwa kanisa la Gwajima na kutengua uteuzi wa Bashungwa CCM hawatamsifia?

    Tatizo Taifa kwa sasa lina watu wengi wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya Taifa. Watu wameweka pembeni taaluma zao,waneweka pembeni imani zao za kiroho na wameweka pembeni ubinadamu wao na kutanguliza mbele maslahi yao binafsi. Ni bahati mbaya pia kuwa mfumo wa utawala umeweka...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

    Napendekeza CAG afanye pia ukaguzi kwenye rasilimali watu,sio tu kuishia kukagua rasilimali pesa pekee. Naamini huko kwenye rasilimali watu kuna Madudu mengi na ya hatari kuliko hata tunayoyashuhudia kwenye hizi ripoti za ukaguzi kwa sasa.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Mwezi March, 2025 unayoyoma, taarifa ya CAG mbona kimya?

    Kwanza mimi nimeacha hata hata kuangalia hizi ripoti za CAG.
  6. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mimi ni mmoja ya G55 sasa baada ya hapa tunafanyaje ndugu zanguni? Maana ni kama hesabu zimeenda hovyo

    Kama lengo lenu lilikuwa ni kugombea na kupata ulaji tafuteni pa kwenda. Ila kama lengo lenu lilikuwa kuikomboa nchi kama viongozi wenu wanavyodai. Basi komaeni hukohuko tu. Iko siku...
  7. O

    JamiiForums Tanzania TANU na ASP vilikutana na vikwazo kama hivi kutoka kwa wakoloni

    Duh! Kwa kweli bongo sasa kimeanza kuchangamka.
  8. O

    JamiiForums Tanzania Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Mimi naangaliaga ila akiingia Musonda na Kibabage tu naacha, naangalia bongo movi
  9. O

    JamiiForums Tanzania Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

    Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa sababu kubwa iliyopeleea DRC kufika hapo walipo ni mgawanyiko wa wao kwa wao ndani ya nchi ukichagizwa na mataifa ya nje. Kiukweli nachelea kusema hata sisi tusipokuwa waangalifu tunaelekea huko. Mgawanyiko unaofukuta kati ya wanaotaka mabadikiko na wale...
  10. O

    JamiiForums Tanzania Kama inawezekana Aziz ki na Dube wavunjiwe mikataba wakiwa hapohapo uwanjani

    Ila Mimi najiuliza,kwani viongozi hawaoni udhaifu wa wachezaji wakamshauri vizuri kocha? Maana kwa msimu huu timu haiko na ule uwezo iliyokuwa nao msimu uliopia,hivyo ni mhimu kufanya tathmini ya kila mchezsji upya na kuona kama bado ana mchango wowote wa maana kwenye timu .Kama kocha atsendelea...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Kama inawezekana Aziz ki na Dube wavunjiwe mikataba wakiwa hapohapo uwanjani

    Wachezaji kama Kibabage,Msonda na Dube kiukweli sio level ya mashindano haya. Tutaongea mengi lakini ukweli ndo huo. Na na kama kocha atsendelea kuwatumia, basi sidhani kama hata Christmas ataila akiwa Kocha wa Yanga.
  12. O

    JamiiForums Tanzania Mapigo 10 ya CCM kwa Edward Lowassa

    INRI
  13. O

    JamiiForums Tanzania Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

    Sasa hivi tumeambiea March. Tuwe na subira na matumaini kama ambavyo tunasubiri Mtume kurudi duniani.
  14. O

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kukataa mabadiliko ya miswada 3 inayopigiwa kelele na wote ni wazi wana nia ovu. Watanzania tusikubali

    Naomba mnistue watakapoanza kujadili mambo mawili tu. 1.Kuondoa kinga za kutohoji matokeo ya uchaguzi wa Raisi mahakanani 2.Adhabu atakayopewa mtu yeyote anayevuruga uchaguzi. Kwa namna yoyote kama kuiba kura,udanganyifu n.k Kwa Sasa bora nifuatilie habari za AFCON tu. .
Back
Top Bottom