Recent content by Onesha

  1. O

    Maelezo ya Bernard K. Membe, Kuhusu Fedha za Deni la Libya

    Mh!! !Tutasikia mengi mwaka huu kuhusu watangaza nia na mabomu yao yanayo lipuka kipindi hiki na hisi kama bado mabomu mengine ya wale wengine sijui nayo yatalipuliwa lini nao wajitete/watolee maelezo kama hivi.Hahahahah, Nchi yetu bwana jambo likianza kuharibika ndio utasikia linaanza kutolewa...
  2. O

    Bei ya ufuta

    Kwa huku dar soko la uhakika lipo wapi/wanunuzi wapo wapi wenye kununua ufuta kwa haraka na kwa bei nzuri?
  3. O

    Kafulila awalipua mawaziri ufisadi mabehewa, alitaka Bunge kuwajibisha wahusika

    Nilisikia mda kidogo juu ya jambo hili mpaka ikapelekea Mwakyembe kuunda kamati juu ya jambo hili mara tena nikasikia Mwakyembe kaamishwa wizara alipokuja Samweli sita nae karigusia kidogo kwa kutaka kamati ile ilete taarifa lkn mpaka ss bado kimya, Kwa mwendo huu ni bora ile taarifa ya kamati...
  4. O

    Papa Msoffe apata dhamana baada ya kubadilishiwa mashtaka

    Huyu Adui rushwa huyu!!!! Anazidi kulitafuna taifa, kila sehemu jambo linapotokea utasikia kuna mianya ya rushwa sijui mwisho wake itakua nn kwa Taifa letu huku tunapo elekea.
Back
Top Bottom