Duuh😭nilkua sina mood ya kucoment lakin imebidi.Hivi wew unaesema marekan ndo baba arudi kutubeba kwani hatujiwezi japo kidogo tu, alitubeba toka 1962 until now n miaka mingap pia mtoto akishakua mkubwa lazima atoke kwao ajitafutie sas ni mda wetu na sisi kujikung'uta vumbi na kuachia mashuka,so...
Habari wakuu!!
Naomba msaada wa masomo kwa atakae guswa au anae fahamu shirika lolote linalotoa msaada kwa ngazi ya diploma.
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wana JF kwa wale wote watakao changa michango yao.
Me ni kijana mwenye umri wa miaka 19,niliitimu kidato cha nne mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.