Recent content by one`s

  1. O

    Jamani spika ni muoga au!?

    Mwanzo spika wa bunge letu Tanzania alisema majibu ama maelezo ya mheshimiwa mbunge wa Arusha Godbless Lema hatayatoa hadharani kwa sababu anatakiwa ayalete kwa maandishi ko zitakaa kamati zao kama kawaida yao na sasa kuna taarifa kwamba atayatoa hadharani tena sasa ni nini kinafanyika juu ya...
  2. O

    Naomba msaada jinsi ya kumtongoza rafiki wa dada angu.

    sasa ndugu yetu mbona hatukuelewi? unasema dadaako atakuchukuia kwanini sasa, kwani unamgonga sister ako, we mtumie huyohuyo dadaako utampata tu huyo demu!
  3. O

    Wanajamii hodi naingia!

    Wakuu! nimevutiwa sana na ma-issue ya JF nimekubali na sasa naingia naomba ushirikiano wenu wakuu!
Back
Top Bottom