Recent content by one nronga

  1. O

    Rais Magufuli aachane na Kauli za 'Kihuni' tafadhali

    Maskini Tanzania. 2020 aslan tusirudie makosa ya 2015.
  2. O

    Ubalozi wa Tanzania utoe pole na kulaani mauaji huko Marekani!

    Hivi hawa wanaofanya huu ukatili ni Watanganyika kweli? Siamini lazma watakuwa wanatokea Rwanda tu
  3. O

    Mhe. Spika, kwanini Bunge lisijibu hoja za Mhe. Tundu Lissu kuhusu gharama za matibabu yake?

    Walotaka kumuuwa Lisu hawakuwa na plan B iwapo wasingefanikiwa,sasa ni aibu kwao hakufa. Laana haitawaacha. Kubwa ni kwamba Kaka Lisu atapona na kutembea wima na kuleta uhuru kamili kwa watanzania wote wanaonyanyaswa na waimla walotamalaki kila pembe ya nchi yetu.
  4. O

    Mwenyekiti wangu Magufuli, hakukuwa na haja ya kulazimisha kuonesha kuwa CCM sasa ni moja. Asilimia 100 si kweli!

    Mara nyingi ushindi wa namna hii hupatikana kwa watu aina ya kagame,Mugabe au museveni tu hapa duniani.
  5. O

    Sasa kama utawala wake unakubalika mabomu kila kukicha ya nini?

    Chema chajiuza kibaya hutumia mabavu kuuzwa
  6. O

    Ndege ya ATCL yachelewa kuondoka ndani ya muda; watoa ufafanuzi!

    Mie pangaboi sipandi hata kama ni lift
  7. O

    Bomoabomoa ya Kimara ilivyozika zaidi ya Sh60 bilioni

    Mwenye mamlaka kaamua kutughilikisha,Mungu ndiye kimbilio letu
  8. O

    Mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea umebisha hodi Tanzania

    Namshukuru Mungu sana kwakuwa sikumchagua na sijawahi kumwamini kwa lolote lile. Sijutii uamuzi wangu kwani nilimfahamu tangia mwanzo kuwa ni mtu wa visasi na chuki kupindukia.
  9. O

    Magazeti yatawaliwa na habari za kuingizwa mkenge kwa Serikali ya Tanzania

    Rejea maelezo ya ZZK khs tulowapa nchi. Napita
  10. O

    Rais Magufuli anafuata nyayo za Rais Erdogan wa Uturuki

    Wanafanana kwenye eneo moja:kutotii katiba walizoapa kutii.
Back
Top Bottom