Walotaka kumuuwa Lisu hawakuwa na plan B iwapo wasingefanikiwa,sasa ni aibu kwao hakufa. Laana haitawaacha. Kubwa ni kwamba Kaka Lisu atapona na kutembea wima na kuleta uhuru kamili kwa watanzania wote wanaonyanyaswa na waimla walotamalaki kila pembe ya nchi yetu.
Namshukuru Mungu sana kwakuwa sikumchagua na sijawahi kumwamini kwa lolote lile. Sijutii uamuzi wangu kwani nilimfahamu tangia mwanzo kuwa ni mtu wa visasi na chuki kupindukia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.