Recent content by one by professionl

  1. one by professionl

    Tumeachana ila bado analalamika nikiweka picha za wanawake wengine mtandaoni

    Unahangaika Kwa lip? Fanya kumpeleka lodge then tomasa unavyo weza akiwa tayari kwa mechi vaa nguo sepa abak anahangaika na kitanda cha lodge pekee ake; nadhan atoktafta tena Sent using Jamii Forums mobile app
  2. one by professionl

    Je, ni kweli kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]black is beauty Sent using Jamii Forums mobile app
  3. one by professionl

    Vyuo Vikuu vijifunze kutoka Chuo Kikuu Ardhi (ARU) katika ubunifu

    Anaeleta uchaga t; ila mkaushie t Sent using Jamii Forums mobile app
  4. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Kwel mkuu; ila nlitaman kuwa mkemia ila kama ivo kupata kazi ad connection na familia zet izo nitakaa na vyet miaka mingi Coz ata mtaj n shda t Sent using Jamii Forums mobile app
  5. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Ok mkuu nimekuelewa vizuri shukurani kwa maelezo yako Sent using Jamii Forums mobile app
  6. one by professionl

    Huyu msichana kaniacha ila ana-like picha zangu za Instagram

    Kalee mzgo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Shukurani mkuu;; lab tech na Chemistry zinaingliana sana Ila ntafuatlia Sent using Jamii Forums mobile app
  8. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Inawezakana pia nikasoma ndio maana nimeomba ushauri kwanza; hivi kwa Tanzania ni vyuo gani vinatoa BSc ya lab technician? na Kwa Diploma yang ya education naweza changuliwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Ok mkuu kwa ushauri wako; ila lengo langu nilitaka nsome field tofaut na education Sent using Jamii Forums mobile app
  10. one by professionl

    Kati ya Bachelor of Science in Chemistry na Bachelor of Science in Education (Chemistry & biology) ipi bora zaidi?

    Natanguliza shukuran; na pole kwa usumbufu wa gonjwa la corona; Mimi nimehitimu Diploma in secondary education (Chemistry &biology) (2018) na nilipata GPA 3.5; ila kwa sasa sija ajiriwa ila nimepanga baada ya changamoto ya corona kuisha niende University kusoma degree ya kwanza. Je, kwa kozi...
  11. one by professionl

    Kwa GPA ya 3.0 Diploma naweza pata nafasi Chuo Kikuu?

    Haahaa!! Ulitaka apate GPA ya 3.5 kwenda juu au,,, ila nakuhakikishia kuwa alifaulu vizuri coz diploma ya ualimu kupata GPA ya 3.5 kwa masomo ya sayansi ni issue nyingine sio kitoto Sent using Jamii Forums mobile app
  12. one by professionl

    Tabia za mwanaume mwembamba

    [emoji848][emoji28] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom