Recent content by Omwami Nshomile

  1. O

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Wilaya ya Misenyi ni miongoni mwa wilaya mbovu hapa Tanzania ukianzia miundombinu mpaka maisha ya kawaida. Awali ilikua wilaya ya Bukoba vijijini baadae wakaigawa. Pole sana kwa kupata ajira sehemu kama misenyi. Utakula gonja mpaka useme no. Sukari inauzwa 500 cuz mko nearby na Kagera Sugar...
  2. O

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Kifupi, ni wilaya magumashi na mpaka sasa haina umeme wilaya nzima. Maisha ya shida but yako chini.
  3. O

    Walimu mnaweza kujiajiri

    Mkuu hapa sio facebook. Hapa ni JF where we dare to talk openly. Leta ushahidi tuamini habari yako.
  4. O

    Ajira za ualimu: Nitaenda TAMISEMI kupata maelezo ya kina

    we ndo una mchecheto. Sisi tumesoma tuajiriwe Period
  5. O

    Ajira za ualimu: Nitaenda TAMISEMI kupata maelezo ya kina

    Habari walimu wenzangu? Me ni miongoni mwa waaanga wa janga hili la ajira za mwaka huu. Kutokana na sintofahamu inayojitokeza, kesho asubuhi nitaenda kupata maelezo ya kina katika Jengo la TAMISEMI Dodoma. Ninaishi manyoni, hivyo nategemea kufika saa 4 nitakua nimefika. Naomba kuungwa mkono na...
  6. O

    Mtazamo wangu kuhusu tangazo la ajira za walimu

    Mimi kesho saa mbili nitakua Dodoma kwenye ofisi za TAMISEMI. Naomba mniunge mkono.
  7. O

    Nifanyaje nije kuwa mkuu wa kituo nitakacho pangiwa

    Sijaona tusi linalokufaaa we mazakanywafanta unayeendekeza ukabila.
  8. O

    Viongozi wenye dhamana waache utapeli ajira mpya

    Me niko free! Najua kila kitu kina mwisho wake. Nimeweka sauti juu nasikiliza gospel
  9. O

    Mwita Magesa hakuwa Mwanachadema halisi, ACT-Wazalendo tafuteni hoja, acheni propaganda za kitoto

    Kaandika maandishi mkuu. Upungufu wa akili una-affect mpaka macho kwani?
  10. O

    Gharama ya kutengeneza dawati

    Mbao za mninga zimekatazwa na maafsi misitu. Ukikamatwa na dawati lilitengenezwa kwa mbao za mninga utafungwa tu.
  11. O

    Majambazi yakamatwa baada ya kumpora mzungu

    Boss wao yuko Magogo ni anacheka. Yule ndo jambazi mkuu.
Back
Top Bottom