Wilaya ya Misenyi ni miongoni mwa wilaya mbovu hapa Tanzania ukianzia miundombinu mpaka maisha ya kawaida.
Awali ilikua wilaya ya Bukoba vijijini baadae wakaigawa.
Pole sana kwa kupata ajira sehemu kama misenyi.
Utakula gonja mpaka useme no.
Sukari inauzwa 500 cuz mko nearby na Kagera Sugar...
Habari walimu wenzangu?
Me ni miongoni mwa waaanga wa janga hili la ajira za mwaka huu. Kutokana na sintofahamu inayojitokeza, kesho asubuhi nitaenda kupata maelezo ya kina katika Jengo la TAMISEMI Dodoma. Ninaishi manyoni, hivyo nategemea kufika saa 4 nitakua nimefika. Naomba kuungwa mkono na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.