Recent content by OMWAIKI

  1. O

    Fagio la vyeti mahospitalini linaweza kuzoa nusu ya wauguzi

    JE VYOMBO VYA HABARI VIKIKUTWA VILITANGAZA KUPOTEA KWA VYETI "HEWA", NAVYO VITATUMBULIWA?
  2. O

    Fagio la vyeti mahospitalini linaweza kuzoa nusu ya wauguzi

    With #HapaKaziTu in full swing, can I paraphrase Muhammad Ali: "Who would have thought, when they came to see the changes, that they would witness the launching, of myriad Tanzanian "satellites".
  3. O

    ANGOLA: President Eduardo dos Santos appoints his daughter as Head of State oil firm

    Jamaa anaona ni sawa tu kumteua binti yake; hali hiyo huwa inaitwa "kulewa madaraka", ni hatari kama ulevi mwingine wowote.
  4. O

    Serikali iwaombe wawekezaji wachina waanzishe vyuo vya VETA nchini

    Ni vema tuimarishe vyuo mbalimbali. Ila vyuo vikuu vijikite kusomesha masomo ya shahada, na kufanya utafiti, visiruhusiwe kuendesha kozi za vyeti.
  5. O

    Ninaamini kote anapoenda Magufuli ana taarifa zake nzito!

    Usishangae itafika wapinzani wataanza kumpenda na wale wa Chama chake wataanza kumchukia.
  6. O

    Namna Bora ya Kupokea, Kujumlisha na Kutangaza Matokeo ya kura za Urais

    Ni wazo zuri, cha muhimu ni kuongeza uwazi ili matokeo yaaminiwe zaidi. Itainua heshima ya NEC, Serikali na Taifa kwa jumla ikiwa wahusika watachukua hatua zitakazosaidia kufanikisha hilo ili nchi ipige hatua na kupanda chati ya viwango vya demokrasia. Tufike mahali NEC iruhusu wananchi au...
  7. O

    Iringa - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Niko maeneo ya Mkwawa nimeshapiga kura yangu kuna utulivu wa kutosha. #HakiNaAmani
  8. O

    Hongera Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura

    Na mimi tayari hapa Iringa mjini, kuna utulivu wa kutosha
  9. O

    Chopa iliyomuua Filikunjombe, ilikuwa mbovu, isiyofaa kwa matumizi wala matengenezo

    Hapo ni wazi kabisa, Mmiliki wa hiyo ndege, Mamlaka ya Anga ya Kenya, Mamlaka ya Anga ya Tanzania, aliyeikodisha, wote wana kesi ya kujibu ya kuua bila kukusudia pia liability for civil damages. Wafiwa wasisite kwenda mahakamani, Sheria ichukue mkondo wake.
  10. O

    Vipaumbele vya Kitaifa - Nyanja ya Siasa

    Kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu wa 2015 ni fursa muafaka kutafakari mustakbala wa nchi yetu katika nyanja mbalimbali. Nami nawasilisha Jukwani vipaumbele nionavyo vinafaa kujadiliwa/kutekelezwa katika nyanja za siasa/utawala bora kwa maslahi mapana ya Taifa letu: 1. Vyombo vya Habari vipewe...
  11. O

    Bunge hili ni "kupe" na liingizwe kwenye ile "list of shame" ya Dr.Slaa

    Nakubaliana na hoja hii! Kama jambo hilo ni kweli, itakuwa ni usaliti mkubwa kwa hao Waheshimiwa kujichotea mahela hayo yote na wakati huo huo ati 'wanatetea' wananchi wanyonge, na kujadili mambo ya 'maendeleo' ya nchi. Demokrasi yetu itabaki ni kama kutwanga maji kwenye kinu ikiwa wale...
  12. O

    Full Text: Maoni ya Kambi ya Upinzani kuhusu Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015

    Nikinukulu maudhui ya makala moja maarufu ya Gazeti la The Sun la huko Uingereza miaka kadhaa iliyopita, nashauri kwamba ikiwa Mswada huu utapitishwa na kuwa sheria kama ulivyo, basi mtu wa mwisho kutoa maoni kwenye Jamii Forums akumbuke kufuta data na posts zote kabla mtandao huu mahiri...
  13. O

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    Umesema vema ndugu. Hili ni suala gumu linalohitaji kuweka mbele maslahi ya Taifa na mustakbala wake kama nchi ya amani na utulivu, siyo dhamira za vyama vya siasa. Unahitajika muda wa kutosha wa kutulia na kutafakari namna ya kujinasua na mtego tuliojitega wenyewe. Kila upande uwe tayari...
  14. O

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    Umesema vema ndugu. Hili ni suala gumu linalohitaji kuweka mbele maslahi ya Taifa na mustakbala wake kama nchi ya amani na utulivu, siyo dhamira za vyama vya siasa. Unahitajika muda wa kutosha wa kutulia na kutafakari namna ya kujinasua na mtego tuliojitega wenyewe. Kila upande awe tayari...
Back
Top Bottom