WENGI WANAPENDA KUWA MBELE MADHABAUNI ILA HAWANA MOTO WA IMANI WAKO PALE KUONEKANA MBELE ZA WATU TU!!! Ila walioitwa na Mungu hawakengeuki,,,moyo wa mtu kichaka
We ni mbuzi unajua vikwazo utakavyowekewa vitkufanya ununue mche wa sabuni sh 5000/ ? Mnaongea tu,ukiona jeshi linachujua nchi ujue uchumi utadondoka vibaya sana maana hawana wanachojua zaidi ya amri
Hivi kwa mfano ukiona mtoto anabakwa ila wazazi wakashirikiana na mbakaji kuficha,,huwezi kufungua kesi na jamhuri ikaisimamia!!?
Nimeuliza hivi sababu kuna watu wanasema ili makonda ashitakiwe lazima wahusika clouds au jamhuri wafungue kesi, Najiuliza kwani Kubenea hawezi kufungua kesi kwa...
Utu wake umetweza jambo jema kabisa kwa sababu alijisahau wakadhaninwanawafokea watoto yeye na jiwe,,, ila pesa atakuwa nayo labda kama alikuwa anahonga,,wangemfukuza na ubunge kbx akale chaki pale Jalalani Udsm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.