Kwanini vijana/watoto wengi waliotumikia Altareni Leo hii asilimia kubwa sio watu wa dini wala kusali

Inatokeaga , ndio mana Yesu alizungumza kuhusu mbegu za mwibani
mimi mwenyewe niliasi kanisani Almost miaka 15 katika hio 15 nimeenda kanisani hata mara 10 haifiki na kulikua na sababu maalum niliasi mpaka nikawa na Phobia ya kwenda kanisani, na hii phobia wanayo wengi sana... kuna watu unakuta wanawish waende ila akijiangalia anasema ntaanzia wapi kuingia.

Yani watu tuliasi tangu enzi ya "bwana awe pia nawe", tunekuja kurudi " Awe rohoni mwako"
miezi mi2 ya mwanzo nilipata shida sana kutoka kwa wanaonijua unaingia church watu wanakuangalia utasema uliwaambia ntakuja na shetani
Ila mwisho wa siku tumerudi na maisha yanasonga. Kwahiyo tuwaombee ipo siku tu.

Sent from


Dah. Kumbe wahanga wengi hivi.

Niliingia ibada siku, nimasikia bwana awe nanyi nikajibu kwanguvu awe piaaaaa naaaaaaweee acheni hiyo aibuuuuu
Sema nalipenda mno kanisa langu. Hata uniue sihami nalipenda kindakindaki. Tatizo ni kuamka kwenda ibadani tu. Kipindi nasoma IFM nilikia nataka nikaombe niwe nafanya kudeki pale groto kwa mapemzi yote sijui niliumwaa hata sikuweza timiza.

Nikilihama sasa kuna maana gani tena ya kilisimasi jamani.. ehh
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mwenyewe ni mseminari mzuri nafikiri siki nilizo tumikia katika misa, siku nilizoshinda kanisani ni nyingi sana. Sasa na miaka sijaenda kanisani naamini siku zinafidia.

Ukweli ni kwamba kuna muda unafikia unaona kama dini ipo au haipo. Maana kuna mambo yanatokea kwa aliyeomba ata ambaye hajaomba.

Nafikiri mie napo sali kwenye misiba inatosha
kwangu kama ibada.

Sema nacho penda ni misimamo yetu hayumbishwi kirahisi rahisi kiimani. Tukutane december tule mbuzi kitimoto na bia nyingi hapo moshi.

Au nasema uwongo ndugu zangu
 
Mimi ni mmoja wao mkuu wakati nipo primary nilikuwa mwana shirika wa St. Aloysius Gozanga (Patron saint of Roman Catholic Youth) nimetumikia sana.

Secondary nikaenda seminary Salesian Seminary (Don Bosco) mpaka form six. Itoshe tu kusema exposure ya kanisa niliyonayo ni yakutosha kuzidi walei wengi.

Lakini nadhani hiyo exposure ilinifanya nifike mahali nisite kuendelea na wito wangu wa kuwa parde na mpaka sasa sio muumini wakueleweka.
Patron Saint wa vijana ni Don Bosco

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ili linaukweli haswa,binafsi nilikua mtumishi parokia flani na nilikua kijana mcha Mungu sana sana nadiriki kusema nilikua nafuata sheria zote za utumishi zile, nilikua napendwa kwa unyenyekevu wangu, ila mwaka nalioacha kwenda kanisani ni 2009,

Watu walikua wananiuliza vipi nabaki kucheka cheka tu, ila uzuri sijawa mtu wa pombe sana wala wanawake sana nipo wastani unyenyekevu ule bado upo ila church ni mara zero sana kwenda

wengi niliokua nao utumishi asilimia kubwa ni walevi,na watu wa totoz sana na wakienda church ni kuvizia totoz tu
 


Dah. Kumbe wahanga wengi hivi.

Niliingia ibada siku, nimasikia bwana awe nanyi nikajibu kwanguvu awe piaaaaa naaaaaaweee acheni hiyo aibuuuuu
Sema nalipenda mno kanisa langu. Hata uniue sihami nalipenda kindakindaki. Tatizo ni kuamka kwenda ibadani tu. Kipindi nasoma IFM nilikia nataka nikaombe niwe nafanya kudeki pale groto kwa mapemzi yote sijui niliumwaa hata sikuweza timiza.

Nikilihama sasa kuna maana gani tena ya kilisimasi jamani.. ehh
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
yani ni mambo ya aibu katika vitu za kuitikia nilikua nakumbuka pale tu inueni mioyo, ni vema na haki aah nyie uasi mbaya sana...
saivi watu wanajifunza kutoka kwangu mana nilitafuta shajara nikasoma sala zote ngumu nikakariri saivi naenda sambamba na Padre utasema mwanakwaya

Sent from
 
Mimi ni mmoja wao mkuu wakati nipo primary nilikuwa mwana shirika wa St. Aloysius Gozanga (Patron saint of Roman Catholic Youth) nimetumikia sana.

Secondary nikaenda seminary Salesian Seminary (Don Bosco) mpaka form six. Itoshe tu kusema exposure ya kanisa niliyonayo ni yakutosha kuzidi walei wengi.

Lakini nadhani hiyo exposure ilinifanya nifike mahali nisite kuendelea na wito wangu wa kuwa parde na mpaka sasa sio muumini wakueleweka.
Sasa kukaa semibary hadi form six ndo exposure ya kutosha! Ungefika falsafa je ama theology?
 
Mimi ni mmoja wao mkuu wakati nipo primary nilikuwa mwana shirika wa St. Aloysius Gozanga (Patron saint of Roman Catholic Youth) nimetumikia sana.

Secondary nikaenda seminary Salesian Seminary (Don Bosco) mpaka form six. Itoshe tu kusema exposure ya kanisa niliyonayo ni yakutosha kuzidi walei wengi.

Lakini nadhani hiyo exposure ilinifanya nifike mahali nisite kuendelea na wito wangu wa kuwa parde na mpaka sasa sio muumini wakueleweka.
Mimi pia nilikuwa Mwana shirika wa shirika hilo. Nikitokea Kanisa la M/Nyamala. 2006 tulihama M/Nyamala, sehemu tuliyohamia kanisa lilikuwa mbali. Hivyo sikuwa mhudhuriaji mzuri.
 
WENGI WANAPENDA KUWA MBELE MADHABAUNI ILA HAWANA MOTO WA IMANI WAKO PALE KUONEKANA MBELE ZA WATU TU!!! Ila walioitwa na Mungu hawakengeuki,,,moyo wa mtu kichaka
 
Form four tu kama kichwa chako kinafanya kazi vizuri inatosha kujua mambo ya kanisa na dini kwa ujumla, form six ni mbali sana.
Achana na huyo mtoto anajifanya anafahamu watu hajui kuna sisi wengine mapadri tulioacha mama Dr. Slaa
 
yani ni mambo ya aibu katika vitu za kuitikia nilikua nakumbuka pale tu inueni mioyo, ni vema na haki aah nyie uasi mbaya sana...
saivi watu wanajifunza kutoka kwangu mana nilitafuta shajara nikasoma sala zote ngumu nikakariri saivi naenda sambamba na Padre utasema mwanakwaya

Sent from
Hahahaha dah. Hongera sana. Ila nikiwaga Moshi ndo najisikiaga raha usaliji wa kule kama uko deep sana na wa kumaanisha. Yaani usifanye masikhara. Ndo maana mtu akafa akanyimwa huduma ya mazishi roho zinawauma ndugu wa marehem balaa yaan kuna kale kahali tu hakaelezeki. Naupenda ukatoliki wangu milele. Wengine waongere yote siyeeee aaah, hatuna noma. Hatuendi kanisani lakini bado ni waumini wake. Yaani uko mioyoni mwetu... imani tunailinda.

Ila jamani jumuiya hata ikasali kwetu pia sitoki nasema naumwaaa niombewe tu jamani...


Tukutane Christmas jamani ndo hii

Tumsifu Yesu Kristu...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sio wote, mbona mimi nimekuwa altal boy since niko msingi, nikaenda Seminary, nikaachana nao, nikafunga ndoa na bado Church naenda kama kawa.
 
Inatokeaga , ndio mana Yesu alizungumza kuhusu mbegu za mwibani
mimi mwenyewe niliasi kanisani Almost miaka 15 katika hio 15 nimeenda kanisani hata mara 10 haifiki na kulikua na sababu maalum niliasi mpaka nikawa
Nakupenda sana wa namna ulivyo mchangamfu
 
Back
Top Bottom